Katika siku ya wanawake, nimemumbuka pia Mh. Anne Makinda Spika wa kwanza mwanamke. Kwa jinsi bunge lilivyokuwa live na kujaa watalaam na ma nguli wa siasa toka enzi za TANU.
Mimi nilidhani angechemsha lakini utendaji wake ulionekana live bila chenga kila kona ya TZ na wengine wakilalamika kibano kimezidi.
Ukiachilia mbali ushabiki wa kisiasa, bunge lilikuwa na mvuto wake wakati huyu spika yupo kwenye kiti.
Namtakia kila la kheri.
Mimi nilidhani angechemsha lakini utendaji wake ulionekana live bila chenga kila kona ya TZ na wengine wakilalamika kibano kimezidi.
Ukiachilia mbali ushabiki wa kisiasa, bunge lilikuwa na mvuto wake wakati huyu spika yupo kwenye kiti.
Namtakia kila la kheri.