Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
- Thread starter
- #61
Nshukuru Kuona Kuwa Sasa Umerudi Na Umekaa Ktk Mstari Kwani Unaongea Sensible Issues Kuliko Pale Mwanzo Na Nafurahi Sana GENTAMYCINE Ninapowarekebisheni Na Hatimae Tunaenda Sawa. Sasa Naweza Nikabadilishana Mawazo Na Wewe Kwani Umeingia Relini. Haya Leta Stori Nichangie Ili Na Wewe Ufurahi Na Ujivunie Kuwa Leo Ulikuwa Ukichangia Mawazo Na GENTAMYCINE Na Si Ajabu Cv Yako Ikakua Kuanzia Leo. Mkuu Wewe Ni Lawyer Nini?
Vizuri Mkuu.
Mimi sio Lawyer
Ushauri wako ni Muhimu zaidi sababu huyu niliemkosea ni Ndugu wa karibu pia ni Rafiki , Nikiendelea kukaa kimya hatanielewa .