Nimemkosea rafiki yangu sijui nitamuombaje msamaha

Nimemkosea rafiki yangu sijui nitamuombaje msamaha

Peleka facebook kama hutaki kufunguka huku tunajadili vitu vilvyokamilika mfyooooo
 
Unawaumiza vichwa wenzio, kosa lako hulitaji, uhusiano huuelezei!!!

Utasaidiwaje????!!!!!
 
Peleka facebook kama hutaki kufunguka huku tunajadili vitu vilvyokamilika mfyooooo[/QUOTE

Sikiliza mkuu usikariri tu bila fact nani kakuambia facebook hakuna vitu venye maana au mantiki.?
 
Naomba Kujua Jinsia Yako Kwanza Isije Ikawa Naongea Na Mtu Aliye Ktk Heat Haswa Ukizingatia Tarehe Zenyewe Hizi Za Yai Kupevuka.


Upo nje ya mada mkuu.
unaweza kukaa kimya tu kama hujui.
 
Tatizo ndio hilo nimeshamkosea tena na alinisamehe sasa nimemkosea tena nashindwa nianze wapi!
Jaribu kuweka wazi mkuu..ni urafiki gani huo..maana tunashindwa kukusaidia..the same gender or opposite..funguka kidogo usaidiwe!
 
Jaribu kuweka wazi mkuu..ni urafiki gani huo..maana tunashindwa kukusaidia..the same gender or opposite..funguka kidogo usaidiwe!

opposite ni rafiki tu wa kawaida sio mapenzi!
 
lazima niombe msaadq maana unajua fika kuwa maneno uliyotumia hayaeuhusiwi. Ile Sheria ya Mitandao iliyopitishwa inakuhusu mkuu.

Imepitishwa Bunge Lipi? Chini Ya Katiba Ipi / Gani? Hii Ya 1977 au Inayopendekezwa? Kama Imepitishwa Kwa Ajili Yangu Basi Najivunia Kujulikana Hadi Na Watunga Sheria Wa Nchi Hii Na Nimefarijika Mno.
 
Imepitishwa Bunge Lipi? Chini Ya Katiba Ipi / Gani? Hii Ya 1977 au Inayopendekezwa? Kama Imepitishwa Kwa Ajili Yangu Basi Najivunia Kujulikana Hadi Na Watunga Sheria Wa Nchi Hii Na Nimefarijika Mno.

Katika Baadhi ya Utunzi wa Sheria ikiwemo vyombo vya Habari iliyofanyiwa marekebisho katka Bunge mwaka huu na Sheria hii ya Matumizi mabaya ya Vyombo vya Habari itaanza kutekelezwa hivi karibuni.

back to the topic
 
Katika Baadhi ya Utunzi wa Sheria ikiwemo vyombo vya Habari iliyofanyiwa marekebisho katka Bunge mwaka huu na Sheria hii ya Matumizi mabaya ya Vyombo vya Habari itaanza kutekelezwa hivi karibuni.

back to the topic

Nshukuru Kuona Kuwa Sasa Umerudi Na Umekaa Ktk Mstari Kwani Unaongea Sensible Issues Kuliko Pale Mwanzo Na Nafurahi Sana GENTAMYCINE Ninapowarekebisheni Na Hatimae Tunaenda Sawa. Sasa Naweza Nikabadilishana Mawazo Na Wewe Kwani Umeingia Relini. Haya Leta Stori Nichangie Ili Na Wewe Ufurahi Na Ujivunie Kuwa Leo Ulikuwa Ukichangia Mawazo Na GENTAMYCINE Na Si Ajabu Cv Yako Ikakua Kuanzia Leo. Mkuu Wewe Ni Lawyer Nini?
 
Back
Top Bottom