Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
Habari,
Naombeni mnisaidie ni namna gani nitamuomba msamaha huyu rafiki yangu, nimemkosea kwa kweli wala sio mara moja sasa wakati huu kakataa kata kata kwamba atachukua uamuzi ambao mimi na yeye basi.Hapa nilipo sitamani chochote kutokana na msimamo wake.
Naombeni mnisaidie ni namna gani nitamuomba msamaha huyu rafiki yangu, nimemkosea kwa kweli wala sio mara moja sasa wakati huu kakataa kata kata kwamba atachukua uamuzi ambao mimi na yeye basi.Hapa nilipo sitamani chochote kutokana na msimamo wake.