jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Umekwisha
sali sala zako za mwisho tunda za ubuyu ni mbaya sana....kama unazo mali anza kabisa kuandika urithi
tunda za enzi hizo....ni tofauti na za siku hizi subutu kumeza leo harafu uone kitakacho kupata...Muongo!mimi nimemeza sana nikiwa mtoto,shule!Mpaka leo hiii nipo!
Eti ilimkwama shingoni. Inasemekana watoto walikuwa wanacheza nje ya nyumba. Akapita mtu ambaye watoto wnamtaja kama uncle wakawapa ubuyu. Baada ya kula, mtoto mmoja ukamkwama shingoni. Kilangila.wakasema sababu ni mbegu ya ubuyu ndio imemuua?
Nikiwa mtoto nilikuwa natafuna mbegu hizo sikupata madhara. Naelewa pia wako wanaotengeneza mafuta ya ubuyu kwa kutumia mbegu hizo. Kilangila.mimi sifafanui kitu ila andika usia ndugu yangu huo ndio ushauri wangu wa bure kwako...hizo mbegu zina sumu kali sana..na sumu yake haina dawa kabisa.