NIMEMALIZA KRISMASS YANGU hivi

NIMEMALIZA KRISMASS YANGU hivi

Status
Not open for further replies.

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
Vipi upande wako umeimalizaje mdau
 

Attachments

  • 1419611039671.jpg
    1419611039671.jpg
    55 KB · Views: 802
Tukisema sikukuu ya kishetani na kipagani mnakataa, sikukuu ya Mungu unaweza fanya huo ufuska?

Hiyo ni tabia ya mtu.. Huezi generelise kuwa ni sikukuu za kishetani mana hakuna dini inayohubiri maovu, kams unadhani kuwa wa dini fulani ndo utaiona pepo jaribu kutenda maovu na siku ukifa ndi utajua..
 
Mjomba ulikuwa South Sudan kwa Ric Machar au wapi tena?
 
kwa mara ya kwanza nimelazimika kujibu post yako,ina maana umeamini kua huyo pichani ndio mtoa mada?kwa nini umejumuisha kua wote tunaohusika na sherehe hii ni mashetani?hii ni zaidi ya chuki kwa dini ya wenzako.

Ungekemea kama huafikiani nayo na si kunilalamikia mimi, mimi sikubali huu ushetani uliowekwa hapa uhusishwe na kuzaliwa kwa Mtume Yesu.

Wewe kama unaamini hiyo ni sikukuu ya Mungu wako usingekubali ufuska ufanyike na utangazwe kwa jina la sikukuu ya mungu wako na wewe ukae kimya na kuchekelea.

Soma heading.
 
Hiyo ni tabia ya mtu.. Huezi generelise kuwa ni sikukuu za kishetani mana hakuna dini inayohubiri maovu, kams unadhani kuwa wa dini fulani ndo utaiona pepo jaribu kutenda maovu na siku ukifa ndi utajua..

Kwa hiyo huyo anafaya ushetani na ufuska siku ya sikukuu ya Mungu? au?
 
Ungekemea kama huafikiani nayo na si kunilalamikia mimi, mimi sikubali huu ushetani uliowekwa hapa uhusishwe na kuzaliwa kwa Mtume Yesu.

Wewe kama unaamini hiyo ni sikukuu ya Mungu wako usingekubali ufuska ufanyike na utangazwe kwa jina la sikukuu ya mungu wako na wewe ukae kimya na kuchekelea.

Soma heading.

heading nimeisoma,ni maamuzi ya mtu binafsi,wewe ndio ulitakiwa kukemea na sio kujumuisha sikukuu yote,mbona hata baada ya mfungo baadhi ya watu wanasherehekea kwa ngono?Na sisi tuseme eid ni sikukuu ya kishetani?
 
heading nimeisoma,ni maamuzi ya mtu binafsi,wewe ndio ulitakiwa kukemea na sio kujumuisha sikukuu yote,mbona hata baada ya mfungo baadhi ya watu wanasherehekea kwa ngono?Na sisi tuseme eid ni sikukuu ya kishetani?

Heading imetaja sikukuu ipi?
 
Angalia grammar yako vizuri dada, religious sana ni too religious haiwezi kuwa too religiously.
Anyway, jibu swali wewe ni religious sana?


Kuna "too" hapo? au unaona nyota nyota?

quote_icon.png
By FaizaFoxy
JF hunikosi religiously.
 
Tukisema sikukuu ya kishetani na kipagani mnakataa, sikukuu ya Mungu unaweza fanya huo ufuska?

Kweli kabisa, hata iddi na vunja jungu guest zote huwa zinajaa, na ule mwezi mnaobadili ratiba ya kula, KITIMOTO huwa haiuziki.

You fool, hiyo ni personal life haihusiani na dini.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom