Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam waungwana?
Kama mada inavyojieleza
Nilikua katika dozi ya malaria nilikua natumia dawa mseto almaarufu ALU
Sasa dozi ndo nimemaliza Leo na hapa nilipo Nina kiu mbaya
Sasa nauliza je kesho jioni naweza kunywa bia? Au kuna madhara yoyote naweza kupata nikigida angalau balimi chupa 5??
Msaada tafadhali wa kitaalam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mada inavyojieleza
Nilikua katika dozi ya malaria nilikua natumia dawa mseto almaarufu ALU
Sasa dozi ndo nimemaliza Leo na hapa nilipo Nina kiu mbaya
Sasa nauliza je kesho jioni naweza kunywa bia? Au kuna madhara yoyote naweza kupata nikigida angalau balimi chupa 5??
Msaada tafadhali wa kitaalam.
Sent using Jamii Forums mobile app