tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
Habari watu wa Mungu?
Eti leo naweza kunywa bia walau chupa tano hivi,maana nilikua na malaria na nimemaliza dozi toka jumanne ya wiki hii, na kiukweli najiskia nimepona kabisa,so leo kuna sherehe mahali na kama ntaenda kwenye hiyo sherehe siwezi kujizuia kunywa bia kabisa.
Kwa wadhoefu wa hii Mambo,kuna madhara yoyote yanaweza kunipata?
Eti leo naweza kunywa bia walau chupa tano hivi,maana nilikua na malaria na nimemaliza dozi toka jumanne ya wiki hii, na kiukweli najiskia nimepona kabisa,so leo kuna sherehe mahali na kama ntaenda kwenye hiyo sherehe siwezi kujizuia kunywa bia kabisa.
Kwa wadhoefu wa hii Mambo,kuna madhara yoyote yanaweza kunipata?