2. Malengo ya bia ni kulewa hivyo mnywaji ili afurahi lazima anywe nyingi mpaka alewe kidogo au zaidi ....soda kichangamsha mdomo, tumbo likijaa tu unaachana nayo!
Wewe ndio akili yako mgando. Isingekuwa hivyo ungelipata jibu hukohuko kanisani usingetuletea. Kwanza ulishalewa b4 hujaandika thread yako. Ndio maana haieleweki. Hao walimu kutoka nje agiza waje wakufundishe mwenyewe.
1. Hivi bia na soda ipi ina gesi nyingi vile?2. Malengo ya bia ni kulewa hivyo mnywaji ili afurahi lazima anywe nyingi mpaka alewe kidogo au zaidi ....soda kichangamsha mdomo, tumbo likijaa tu unaachana nayo!
Wewe ndio akili yako mgando. Isingekuwa hivyo ungelipata jibu hukohuko kanisani usingetuletea. Kwanza ulishalewa b4 hujaandika thread yako. Ndio maana haieleweki. Hao walimu kutoka nje agiza waje wakufundishe mwenyewe.