Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,499
Pole asikutishe huyo kwani anaishi shimoni kiasi kwamba watu hawamuoni. Je kama mkewe alituma mpelelezi hapo . Hudhuria kikao na ukatae kata kata ikiwezekana muhoji je ni wewe pekee ndiye unaejua hayo au kuna wengine pia wanajua. Cha msingi aache uzinzi na amuangukie mkewe. Kumbuka kumsisitiza mkewe asikutaje .