fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,167
Nimelia kuona Teheran ikipigwa mabomu kila mahali,natamani watawala wajisalimishe wananchi wapate nafuu
Israel mtoa roho yupo kazini..magaidi hayana nafasi katika freeworld
Yesu ALIKUFA kwa dhambi zakoKama WaIsrael waliweza kumuua YESU, nini kitawashinda?
Umeongea point sanaKama WaIsrael waliweza kumuua YESU, nini kitawashinda?
Hivi Netanyahu amekimbilia wapi baada ya Ikulu yake kusambaratishwa march 2nd?
Ni WayahudiKama WaIsrael waliweza kumuua YESU, nini kitawashinda?
Hivi Netanyahu amekimbilia wapi baada ya Ikulu yake kusambaratishwa march 2nd?
Internet Iran hakuna lakini maneno mengiii 😂Mbona maneno matupu hakuna tu pichapicha
Ndiyo, lakini akina nani waliomuua?Yesu ALIKUFA kwa dhambi zako
Watasema umma wa waislam wamemuombea dua ya kifo🤣🤣🤣Magaidi wa kiislam wanasubiri babu Netanyahu afe kwa mafua ili wapite na habari kuwa wao ndo wamemuua 😂
Kwani Wayahudi siyo Waisraeli?Ni Wayahudi
Wafanye haraka waombe hiyo dua afe wiki hii, mana anaweza kufa miaka mitano ijayo bado wakadai wamemuua wao 😂Watasema umma wa waislam wamemuombea dua ya kifo🤣🤣🤣
Israel ya Dumila.Tanzania yaionya israel😠.
Ikulu ya netanyahu ilisambaratishwa tar 2nd March; wakamnyazisha kidogo...angalau wiki moja bila kuropoka...Magaidi wa kiislam wanasubiri babu Netanyahu afe kwa mafua ili wapite na habari kuwa wao ndo wamemuua 😂