Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Iphone nyingi og huwa zinakuwa na logo yao kwenye cover la betri, hii naona haina ,isije ikawa I13 pro max za kichina?
 
Habari za muda huu naimani ni mzima wa afya ngoja kwanza twende mdogo mdogo kununua simu fake siyo kwamba kila mtu anapa ga hata wazazi wetu huwa wanatuletea simu fake bila wao kujua maana simu zinaitaji elimu sana. Ok pengine labla mambo yamebadilika ila kwamimi hapa navyojua iphone hii uliyopost mkuu ni 98% copy au ni fake kabisa kwa hizi sababu zifuatazo
1 Camera uliyopost wewe hapo kama kuna mtu amezoom vizuri atagundua camera ipo moja tu nyingine zote zipo empty iphone original lazima ziwe na camera kwenye frame zake zote
2 Camera uliyopost yenyewe ipo flat kidogo ukilunganisha na iphone original zinatakiwa zije juu kidogo naimani nimeweka na ushaidi wa picha kama nitakuwa nimekosea

3 iphone yako huku chini corner za iphone zinakuwa kama nusu duara hivi ila kwa macho yangu nimeona hiyo siyo nusu duara ila kama nitakuwa nimekosea utaniambia

4 Mkuu hii naona kama imzidi naona frame yake ni kubwa sana kuliko kawaida

Ila haya ni macho yangu tu maana simu sipo nayo chakufanya kwanza

Chukua imei number check kwenye imei info

Mpaka sasa iphone 13 pro max zote bado zipo kwenye warranty

Na ukitaka kuuza hiyo thamani yake ni 2.3M hadi 2.4M
Kwakuwa ina crecks utauza kwa 2.1M kuja juu mpaka 2.2M
Karibu sana
 

Attachments

  • IMG_2875.jpg
    17.8 KB · Views: 36
  • IMG_2874.jpg
    21.6 KB · Views: 38
  • IMG_2873.jpg
    32.5 KB · Views: 37
  • IMG_2872.jpg
    23.8 KB · Views: 39
  • IMG_2871.jpg
    21.3 KB · Views: 36
  • 8378a5146436290f065a76794d7819cb.jpg
    17.4 KB · Views: 41
  • 2f2dcd004b8f6fe7c91de5b7192d014a.jpg
    18.6 KB · Views: 42
  • a2ae2a0f137f87e79ceb693ed973ad5d.jpg
    38.4 KB · Views: 38
  • e83422cebc195100f25a2c6ae63dd7bd.jpg
    43.4 KB · Views: 38
Nakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…