Nimelazimika kula nyama mbichi ya ng'ombe leo. Madhara ni yapi?

Sawa nalifanyia kazi hili mara moja. Ila nachukia mno nikiudhiwa.
Kuna siku nilikuwa Ulaya, nchi fulani nikakuta kuna mjadala. Ulikuwa na wa nini? Walikuwa wameweka sehemu yenye vyombo vya udongo kama sahani, bakuli, vikombe na mtu anapokasirika anapata sehemu ya kwenda kutolea hasira zake kwa kuvunja vunja vile vyombo.
 
Unge google madhara kabla ya kula.. au haukuwa na bando?
 
Pole sana fataushauri wa wanaokushauri kwenda kwa psychologist

Usipoona mafanikio nenda upande wapili wa shirinhi mkuu.

Hiyo nihatari sanaa maana unaweza fanya jambo ukajikuta upo gerezani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…