Elimu kuhusu vvu bado sana nahisi serikali iongeze wataalamu ili kulinusulu taifa hili, sasa mkuu nikurudie vvu haiambukizwi kwa kutokuchubuana bali hata majimaji ya ukeni ukipiga kavu hua na virus vya vvu ila kama anatumia dawa viral load hua ni Chichester sana kwaio probability za kupata zinakuwa coaches ila kama alikuwa hajui status yake na hatumii dawa vizuri basi kapime update uhakika.
Genye zitawaua nunua mipira weka geto
Huyo ndio rahisi kukuambukiza sasa.Hivi kwa binti bikra mwenye ngoma aliuozaliwa nayo kutoa unaweza mkuu tena kavu?
Upwiru sio kwa Me pekee, hata Ke wanao.Kinachonishangaza kwanini hakukukatalia au ulim force?
Damu ya mtoto na ya mama havichangamani akiwa tumboni. Ndio maana blood groups zao zinaweza tofautiana. Damu zao huchanganyikana kwenye kujifungua, mama mwenye maambukizi hupewa dawa na uangalizi maalum ili asiambukize mtoto wakati wa kujifungua. Na pia mtoto huachishwa kunyonya mapema.Duhhh kama manii yanasababisha kwann mtoto anazaliwa bila maambukizi
Kama umejipata lakini kama bado afya ni mtaji mkuuHichi kibinti mama na baba ake wanao,tena mama ake ni wale wamama mashalah na hanaga noma yule mama alishawah kusema kwamba dogo anao alimzaa nao,pia kuna jamaa yang aliwah piga kwa huyo mama ila akaacha,lakin huyo mama aliwah mfata waendelee na kumweleza kwamba anao ukimwi,yaan yule mama ukimwi ashauchukulia simple tu
Nikitumia ndom kumtoa bikra?😂Upwiru sio kwa Me pekee, hata Ke wanao.
Hata wao wanatamani vilevile.
Duh mbona mnanitisha Mzee wa kavuVVU vijana hawana elemu yakutosha, kwa sababu mucus za uke ndo kwa asilimia 75 ndo znachangia kwenye transmission ya ugonjwa huu kwasababu hata ukifanya tendo hata kwa sekunde 30 bila mchubuko wowote bado unaweza pata VVU, kwahyo kuupata VVU haijalishi mda ulio tumia au michubuko, ila kinacho matter je unae shiriki nae anazingatia doses kwasababu, hayo mawali kati ya michubuko na mucus vina matter zaidi kama doses znatumika so kijana akapime
Utaangamia kwa kukosa maarifaMkuu hapana si kweli.
Mbona huwa inashauriwa mwanamke umuandae vizuri ili kuwe na utelezi ambao utazuia michubuko wakati wa tendo kiusalama
Etiiiii?Ni ngumu sana mkuu, watu tushatindua kavukavu migoma ilomeza ARV zaidi ya miaka 20 na bado tupo positive.
AiseeeeDuhhh kama manii yanasababisha kwann mtoto anazaliwa bila maambukizi
😂😂Hii tabia ya kulala na kitu kinachokuja geto bila kinga ni uzwazwa. Ukipona kwenye hili acha nyege za kipumbavu.
Kapime ujue Hali Yako.
VVU vijana hawana elemu yakutosha, kwa sababu mucus za uke ndo kwa asilimia 75 ndo znachangia kwenye transmission ya ugonjwa huu kwasababu hata ukifanya tendo hata kwa sekunde 30 bila mchubuko wowote bado unaweza pata VVU, kwahyo kuupata VVU haijalishi mda ulio tumia au michubuko, ila kinacho matter je unae shiriki nae anazingatia doses kwasababu, hayo mawali kati ya michubuko na mucus vina matter zaidi kama doses znatumika so kijana
2weeks naweza pata majibuVVU vijana hawana elemu yakutosha, kwa sababu mucus za uke ndo kwa asilimia 75 ndo znachangia kwenye transmission ya ugonjwa huu kwasababu hata ukifanya tendo hata kwa sekunde 30 bila mchubuko wowote bado unaweza pata VVU, kwahyo kuupata VVU haijalishi mda ulio tumia au michubuko, ila kinacho matter je unae shiriki nae anazingatia doses kwasababu, hayo mawali kati ya michubuko na mucus vina matter zaidi kama doses znatumika so kijana akapime