Nimelala kwenye kituo cha kujiandikisha BVR...

Nimelala kwenye kituo cha kujiandikisha BVR...

New Nytemare

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
3,400
Reaction score
2,573
Ebhane leo ndoa yangu imeenda likizo nimeamka saa 8 kupanga folen..ile kufika kituon watu nyomi..duh watu wanahasira na kumwangusha Anne makinda
 
Ebhane leo ndoa yangu imeenda likizo nimeamka saa 8 kupanga folen..ile kufika kituon watu nyomi..duh watu wanahasira na kumwangusha Anne makinda

Kwani anagombea tena huyo Makinda?
 
Kwani bado haujalipa kodi ya nyumba mpaka leo?NILITEGEMEA UMESHALIPA ILI ANGALAU USUMBUFU UPUNGUE
 
Watasema wamevikosea tena bora uache, maana pikipiki washaanza wamezikosea
 
Huo utaratibu imenishinda mie kuamka saa8
Serikali na Nida utaratibu wao ni -----
 
Kweli majanga kikwete, hivi kama bado mkoa mmoja unaandkisha huu uchaguzi utakuwepo mwaka huu?
 
Kweli majanga kikwete, hivi kama bado mkoa mmoja unaandkisha huu uchaguzi utakuwepo mwaka huu?

Ulivokuwa unasikia njombe ilikuwa vijijini..kuanzia leo ndo njombe mjin kazi ipo
 
mh. pinda alisema mashne za bvr zina ufanisi wa kutosha...

dk jk nayeye aje atoe tamko kwamba upigaji kura ni 2016..
 
Mjini tutasikia mengi,maana vijijini ata Jf na other social media wanao pata wachache..
 
njombe imechukua zaidi ya mwezi mmoja.

sijua dar, mwanza, arusha... itachukua miaka mingapi ?!
 
Njombe ni mkoa wenye watu wengi sana, alafu ni mkoa ambao unachangamoto kubwa katika uelimishaji wa kuitikia wito wa kuweza kushiriki zoezi la kupata vitambulisho. Watu wengi wanakuwa busy na shughuli za kilimo ukizingatia usajili umeingia pindi kilimo ndio kinakimbizana na mvua za masika kuisha
 
Pole sana uwe na moyo mkuu maana watakaokata tamaa hawatapiga kura bali wewe jatahidi na wengine tuige kutoka kwako!!!!
 
je mpango wa uandikishaji wa wapiga kura ya katiba kusuasua ni nia ya serikali ?

kwanini walinunua bvr chache ..!
 
Naomba kujua hivi njombe ndiyo kitua ambacho inabidi tuende watz wote kuandikishwa au nivip? naona mda unaenda tu
 
Back
Top Bottom