Nimekwama hapa(T-Visa Problem)

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,100
6,022
Nipo India nilikuja kupiga pepa, sasa baada ya pepa nikaona ngoja nisubirie majibu, sasa majibu yashatoka ila bahati mbaya i have one more pepa to write again...hapa ndipo tatizo linapoanza!
Returning ticket yangu ni tarehe 15/4/11, kwakuwa kulikuwa na formalities nyingi za Student Visa ikanibidi nichukue Tourist(T)-Visa 6 month validity na inaexpire tarehe 25/4/11. Tarehe ya mtihani bado haijatoka lakini nilivyofuatilia university kwa Controller of Examz nimeambiwa pepa zinaanza tarehe 25/4/11 ambapo ndio visa yangu inaisha. Kuhusu ticket nishaonana na Quatar Airwayz office wameniambia mwisho wa ticket yangu ni tarehe 28/4/11 kwa kulipia tena dola 50..ikizidi hapo itabidi ticket iwe ya mwaka nilipie dola 300 na wakaniambia niende High Commision nikaextend visa. Sijaenda bado kwa kuwa timetable haijatoka, lakini kufuatilia online nimeona T-visa hairuhu ku-extend na siwezi kurudi home mpaka niifanye hii pepa, sasa hapa wenye experience na matukio kama haya naomba msaada, au sheria zinasemaje, nina hofu na kupigwa NO-ENTRY. Plz help.
 
Kwa nini usiwaone travel agents ambao wanaweza kukupa msaada mkubwa kabla ya kujua nini cha kufanya?
 
Nipo India nilikuja kupiga pepa, sasa baada ya pepa nikaona ngoja nisubirie majibu, sasa majibu yashatoka ila bahati mbaya i have one more pepa to write again...hapa ndipo tatizo linapoanza!
Returning ticket yangu ni tarehe 15/4/11, kwakuwa kulikuwa na formalities nyingi za Student Visa ikanibidi nichukue Tourist(T)-Visa 6 month validity na inaexpire tarehe 25/4/11. Tarehe ya mtihani bado haijatoka lakini nilivyofuatilia university kwa Controller of Examz nimeambiwa pepa zinaanza tarehe 25/4/11 ambapo ndio visa yangu inaisha. Kuhusu ticket nishaonana na Quatar Airwayz office wameniambia mwisho wa ticket yangu ni tarehe 28/4/11 kwa kulipia tena dola 50..ikizidi hapo itabidi ticket iwe ya mwaka nilipie dola 300 na wakaniambia niende High Commision nikaextend visa. Sijaenda bado kwa kuwa timetable haijatoka, lakini kufuatilia online nimeona T-visa hairuhu ku-extend na siwezi kurudi home mpaka niifanye hii pepa, sasa hapa wenye experience na matukio kama haya naomba msaada, au sheria zinasemaje, nina hofu na kupigwa NO-ENTRY. Plz help.


Nenda ubalozini utasaidiwa.Usiridhike na habari za kwenye mtandao wao.
 
Kwa nini usiwaone travel agents ambao wanaweza kukupa msaada mkubwa kabla ya kujua nini cha kufanya?

Travel agents wanaweza ku-deal na mambo ya passport au visa??ok thanx though
 
Nenda ubalozini utasaidiwa.Usiridhike na habari za kwenye mtandao wao.

Ubalozi ni mbali mno toka hapa ninapoishi, nipo south na ubalozi upo north(delhii), umbali wa siku 3 kwa treni na siku 6 go and back...sijafikiria kwa sasa kwenda huko
 
Ubalozi ni mbali mno toka hapa ninapoishi, nipo south na ubalozi upo north(delhii), umbali wa siku 3 kwa treni na siku 6 go and back...sijafikiria kwa sasa kwenda huko

Nchi haiwezi kubadilisha taratibu zake za utoaji visa kwa sababu yako. Umeshauriwa uende ubalozi waone watakusaidia vp unasema huwezi..sasa unataka wakufuate nyumbani kwako.

Andaa docs zote za kusupport extension yako. na kama tarehe ya mtihani haijulikani issue inazidi kuwa tata.

Nenda ubalozi tu, au wasiliana nao uone watakushauri vp?
 
Back
Top Bottom