mama biashara ipo misele we ingia mali unakuta zipo bondi zote
Evelyn na miss chagga mi nawakubali sana nyie majembe. Love you Mwaaaaa.
Mi nipo tayari, naomba ubadilishe majina ya mali uniandikie jina langu....
Usife bado nakuhitaji...apo umeniua hahahaha
Yani umejua wewe ni mtumwa na bado upo tu?
Anatumikia mapenzi mwenzio kuna mafao mwishoni
Mafao my foot? Huyo ni zoba