maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,144
Mkuu tuelezee kidogo chanzo ilikuaje plzMimi haijawai nitokea na tukikaaga vijiweni zikipigwa hizi story naonaga ni sukumia muda kipindi hicho ila ilivyokuja kumtokea mjomba ndio nikaanza kuamini maana ukoo wote ulijua bibi mbeya alipata taarifa kuwa mwanao kakutana na jini aliliwa kama kafa ndugu wote wa dar tulikwenda kujazana bunju na kama tunavyojulika wanyakyusa kwa uchungaji aisee anko ni mtu wa miraba minne lakini kulala na mkewe tu alikuwa anaogopa anata kulala mob na maombi juu kwake pakageuka kuwa kanisa ila sasa hivi yupo anadunda tu
Sent using Jamii Forums mobile app