Nimekutana na Jini?

Sasa Kaveli kwani nilikwambia nilikuwa napita barabara isio na taa?!! Ningewatajia barabara au mtaa kama kawaida yenu great thinker humu mngesema lengo la thread ni lingine. Ni hivi hio barabara ina taa mwanzo mwisho left and right. Na sikulewa ndio maana akili yangu ikaweza kujiuliza:
1.Saa kumi alfajiri mwanamke wa kizungu kasimama barabarani peke yake
2.Dress code,black long dress, kama angekuwa muuzaji angekuwa na dress code tofauti
3.Location, sio yale maeneo ambayo ningetegemea kukuta wauzaji.

Nina uzoefu na mabinti wa usiku kwa hio ninajua ninachoongea....na kweli ningekuwa na konyagi kubwa mbili kichwani ningembeba bila kujiuliza.
 
Dah... ajabu sana, eti mtu hadi unajua kuendesha gari lakini paka mweupe na mwanamke blonde aliyevaa nguo nyeusi hujawahi kuwaona live. Hii nchi ya ajabu sana
Kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti. Kuna mahali nimesema sijawahi kuona paka mweupe au mwanamke blonde?! Issue hapa ni muda,location sio case ya kuona blonde.
 
Kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti. Kuna mahali nimesema sijawahi kuona paka mweupe au mwanamke blonde?! Issue hapa ni muda,location sio case ya kuona blonde.
Dah... sasa tofauti iko wapi chief?
 
Dah... sasa tofauti iko wapi chief?
Saa kumi alfajiri, mwanamke kavaa gauni refu jeusi kasimama barabarani peke yake. Kama angekuwa anajiuza angevaa nguo fulani hivi za kuonyesha biashara halafu sio mitaa ile niliomkuta angekuwa maeneo fulani ya biashara.
 
Mkuu ulikula cha Makambako nini?
 
Kwanza ulitoka wapj?.kama kwa mchepuko.basi mama Mkwe anakujaribu
 
hahahahahahahaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚acha uwaga ww atakuwa dada poa tu huyo
 
hahahahahahahaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‘πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚acha uwaga ww atakuwa dada poa tu huyo
Duh umefukua kaburi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…