Nimekutana na huu ujumbe

Nimekutana na huu ujumbe

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,341
Katika pitapita zangu za baadhi ya thread humu MMU, nimekutana na huu ujumbe mzito kwenye moja ya comments tena kutoka kwa mwanamke.
Huo ujumbe ni kama ifuatavyo:::-

My take :
Wanawake ifikie time tuwe tunaheshinu wale wanaoamua kutuonyesha hisia zao na kutupenda kwa dhati ila tatizo letu mtu akikupenda unajiona wewe ndio kila kitu na kumfanyia kila aina ya ujinga ukiamini hawezi kukuacha ila baadae mambo yakibadirika unaanza mtafuta mchawi ila siku atakapokutana na anaeijua thamani ya mwanamke usitarajie kama atarudi kwako kila binadamu anapenda amani ya moyo hakuna anaependa maisha ya stress......".

Best-Romantic-Whatsapp-Profile-Pictures-That-Impress-You-DP-21-1.png
 
Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
 
Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Nikwambie kitu mkuu, go to someone who will value your time, your care, your feelings, and your love towards her. You cant force someone to love you if she doesnt have any feelings for you. One day ataelewa haya maneno but wewe utakua umetulia kwenye mikono ya unayemstahili
 
Nikwambie kitu mkuu, go to someone who will value your time, your care, your feelings, and your love towards her. You cant force someone to love you if she doesnt have any feelings for you. One day ataelewa haya maneno but wewe utakua umetulia kwenye mikono ya unayemstahili
Ndio maana mkuu nimeamua kutulia tuli.Labda halikuwa chaguo langu.Najihisi mwenye furaha sasa
 
Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Umefunguka mbaba au unalialia tu mkuu kama mtoto mdogo anaelilia nyonyo ila hawezi kusema?
 
Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Endelea kusubiri mvumilivu hula mbivu lakini sometimes zinaoza
 
Katika pitia pitia zangu za baadhi ya thread humu MMU, ninekutana na huu ujumbe mzito kwenye moja ya comments tena kutoka kwa mwanamke.

Huo ujumbe ni kama ifuatavyo:::-

My take :wanawake ifikie time tuwe tunaheshinu wale wanaoamua kutuonyesha hisia zao na kutupenda kwa dhati ila tatizo letu mtu akikupenda unajiona wewe ndio kila kitu na kufamfanyia kila aina ya ujinga ukiamini hawezi kukuacha ila baadae mambo yakibadirika unaanza mtafuta mchawi ila siku atakapokutana na anaeijua thamani ya mwanamke usitarajie kama atarudi kwako kila binadamu anapenda amani ya moyo hakuna anaependa maisha ya stress......".

View attachment 532405
Ni kweli. Na inafaa iwe "two way traffic"
 
Back
Top Bottom