Sadlady
Member
- Apr 8, 2014
- 21
- 10
Labda inaweza kuwa sio habari ila kwangu Sadlady it was a great day, noted.. Nikiwa kwenye DCM natokea zangu Temeke kwenda makumbusho, sikumbuki kituo gani alipandia ila nakumbuka alikuwepo abiria pembeni yangu, aliposhuka ndipo akakaa kijana mmoja. sikuwa na time na mtu yeyote kwa sababu mambo yangu bado yana mixmix, siko poa kabisa wala sifeel kuongea na kiumbe yeyote. akanisalimia nikamjibu shot poa, mkononi nilishika gazeti ambalo sikujisikia poa kulisoma na lilikuwa na taarifa zake kwa juu. akaniomba asome gazeti , ilinikera hali ile nikamtazama usoni kwa ghadhabu na kumtupia gazeti, sikujua ni nani na sikutaka mtu anisumbue that time.
akaniuliza unamjua huyu wanaye mwandika mwandika, nikamjibu simjui na nikaongea maneno mabaya kuhusu mambo ya dini naomba nisiyaandike. ila huyo kijana alionekana mpole, ana suti yenye kibezi nzito sana, akiongea niliona kama moyo wangu unalipuka flan, sikupendelea aendelee kuongea, nikamtazama kavaa shati na sendoz wa kawaida, nikajua huyu anataka kunipigia kelele tu. basi kwa sauti yake akaniambia kusomasoma habari hizi kunaharibu ubongo wa mtu ni aheri ungekuwa na biblia ukajisomea. alipoongelea mambo ya dfini hapo alinikera zaidi eti mie niokoke.
mambo yalibadilika alipo ingia bibi mmoja, akainuka akimwomba yule bibi akae kwenye siti yake kwa sababu ya umri. bahati mbaya yule bibi akamtambua. akapiga makelele Ooooo! Baba Gwajima..! OOO baba yangu, akapiga magoti yule bibi basi basi zima likatifuka, kila mtu akitaka kumwona huyo Gwajima, Konda akafanya kazi kubwa kuwatuliza watu waliokuwa na shauku ya kumwona Live mtu huyo, DCM likasimama pembeni ya Barabara, akashuka kumbe alikuwa na Kundi la vipande vya wanaume wamevalia suti nyeusi na miwani na vyombo flan masikioni kana sita au nani ivi. mie sikujua kumbe walikuwa wamemzunguka. kuna magari mawili yalikuwa yakifuata kwa nyuma wakaingia ndani ya magari hayo na kutokomea. he nilishangaa sana. he Kumbe huyu ndiye Gwajima, maskini mdogo, mpole, huwezi hata jua. amevaa kawida kabisa. mbele ya wale mababa waliomzunguka alionekana mdogo sana. he kumbe anapandaga daladala zetu, aisee!
basi yule mbibi ndio akawa kama amefungiwa mota, akaanza kutuhubiria humo ndani, mie hata sikumsikia,he kumbe nilikuwa nimekaa na Gwajima!! ajabu sana, watu wakawa wananiuliza alikwambiaje..?.. sadlady mie, leo nimekutana na huyu mtu, aisee, ningembana nikachukua mawasiliano faster, aisee!! ningejua!!bahati haiji mara moja, kama kuna mtu anajua anapopatikana au kanisani kwake mie nataka ani-pm ili niende siku ya ibaada labda nitamwona, labda atanikumbuka, labda ndio itakuwa mwisho wa matatizo yangu jamani..
akaniuliza unamjua huyu wanaye mwandika mwandika, nikamjibu simjui na nikaongea maneno mabaya kuhusu mambo ya dini naomba nisiyaandike. ila huyo kijana alionekana mpole, ana suti yenye kibezi nzito sana, akiongea niliona kama moyo wangu unalipuka flan, sikupendelea aendelee kuongea, nikamtazama kavaa shati na sendoz wa kawaida, nikajua huyu anataka kunipigia kelele tu. basi kwa sauti yake akaniambia kusomasoma habari hizi kunaharibu ubongo wa mtu ni aheri ungekuwa na biblia ukajisomea. alipoongelea mambo ya dfini hapo alinikera zaidi eti mie niokoke.
mambo yalibadilika alipo ingia bibi mmoja, akainuka akimwomba yule bibi akae kwenye siti yake kwa sababu ya umri. bahati mbaya yule bibi akamtambua. akapiga makelele Ooooo! Baba Gwajima..! OOO baba yangu, akapiga magoti yule bibi basi basi zima likatifuka, kila mtu akitaka kumwona huyo Gwajima, Konda akafanya kazi kubwa kuwatuliza watu waliokuwa na shauku ya kumwona Live mtu huyo, DCM likasimama pembeni ya Barabara, akashuka kumbe alikuwa na Kundi la vipande vya wanaume wamevalia suti nyeusi na miwani na vyombo flan masikioni kana sita au nani ivi. mie sikujua kumbe walikuwa wamemzunguka. kuna magari mawili yalikuwa yakifuata kwa nyuma wakaingia ndani ya magari hayo na kutokomea. he nilishangaa sana. he Kumbe huyu ndiye Gwajima, maskini mdogo, mpole, huwezi hata jua. amevaa kawida kabisa. mbele ya wale mababa waliomzunguka alionekana mdogo sana. he kumbe anapandaga daladala zetu, aisee!
basi yule mbibi ndio akawa kama amefungiwa mota, akaanza kutuhubiria humo ndani, mie hata sikumsikia,he kumbe nilikuwa nimekaa na Gwajima!! ajabu sana, watu wakawa wananiuliza alikwambiaje..?.. sadlady mie, leo nimekutana na huyu mtu, aisee, ningembana nikachukua mawasiliano faster, aisee!! ningejua!!bahati haiji mara moja, kama kuna mtu anajua anapopatikana au kanisani kwake mie nataka ani-pm ili niende siku ya ibaada labda nitamwona, labda atanikumbuka, labda ndio itakuwa mwisho wa matatizo yangu jamani..