Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu.
Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu.
Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
Alipaswa kutambua kwamba Jamii ya watanzania ni jamii ya watu waoga Wakati ukiwa unafanya harakati watakupa bichwa Kwa kukushangilia tu ila ukikamatwa Wataishia kupost #Free pole pole After one month imeisha hiyo 😄