Teacher on duty
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 201
- 331
Kuna Meku's bistro round about ya moshi/about....Hugos pia pako poa, au kama unataka kuibiwa nenda malindi club or pub alberto kuna wadada wengi wapo nje kuwa makini
Malindi ni kitongoji ni bar au ni hotel?
Nenda njoro
Njoo CCP hapa tukeshe doso!
Nipo Moshi, nimefika mchana wa leo na kesho asubuhi naondoka. Nimefikia hotel fulani hivi ila pamepoa saaana.
Hivyo, ningependa kuonana na mwanajf yeyote yule aliyepo hapa moshi mjini.
Au, kwa wazoefu wa mji huu naomba mniambie ni sehemu zipi za kwenda kutembea kwa starehe usiku huu.
Karibuni.
Njoo Pub Alberto au Kama una mkwanja nikupe namba ya m-bebe wa shanty town akupe company.
Nipo Moshi, nimefika mchana wa leo na kesho asubuhi naondoka. Nimefikia hotel fulani hivi ila pamepoa saaana.
Hivyo, ningependa kuonana na mwanajf yeyote yule aliyepo hapa moshi mjini.
Au, kwa wazoefu wa mji huu naomba mniambie ni sehemu zipi za kwenda kutembea kwa starehe usiku huu.
Karibuni.
Nipo Moshi, nimefika mchana wa leo na kesho asubuhi naondoka. Nimefikia hotel fulani hivi ila pamepoa saaana.
Hivyo, ningependa kuonana na mwanajf yeyote yule aliyepo hapa moshi mjini.
Au, kwa wazoefu wa mji huu naomba mniambie ni sehemu zipi za kwenda kutembea kwa starehe usiku huu.
Karibuni.
Kuna Meku's bistro round about ya moshi/about....Hugos pia pako poa, au kama unataka kuibiwa nenda malindi club or pub alberto kuna wadada wengi wapo nje kuwa makini
nenda police messs
police mess pale cku hizi sio pazur tena ni kama east africa tu
Nipo Moshi, nimefika mchana wa leo na kesho asubuhi naondoka. Nimefikia hotel fulani hivi ila pamepoa saaana.
Hivyo, ningependa kuonana na mwanajf yeyote yule aliyepo hapa moshi mjini.
Au, kwa wazoefu wa mji huu naomba mniambie ni sehemu zipi za kwenda kutembea kwa starehe usiku huu.
Karibuni.