Nimekuja Kujua Hili

Nimekuja Kujua Hili

Fikiria kama hapa mhadzabe atajiteteaje kama sio kubeba mshale 😄
FB_IMG_17508540998299253.jpg
 
Wanaume ambao ni malaya wanaosumbua wanawake zao ni wanavibamia .

1. Huwapiga wake zao
2. Huwa wanavurugu sana
3. Huwa wanajiona wanajua
4. Wanawake wengi mno kila mtu yeye .
5. Huwa wana amani hawajiamini na hawajipendi yaani afya zao haziridhishi.
WAnaoa sana kama ni waislam .
Jipya hakuna
Tupe ushahidi usibwajaje tu

Maana wanawake kwa mudomo tu hamjambo

😂😂
 
Siku za karibuni humu jf kimekuwa na ongezeko la.masimango kwa sisi wanaume sijui tukimbilie wapi
 
Back
Top Bottom