Triple A
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 766
- 148
Hi JF, leo nimekaa mahali nikamwona dem wangu flan kipindi nikiwa kijana nikakumbuka mbali sana, kipindi hicho nilikuwa getho na masela wenzangu msela akikamata kitu chake unapishwa ukajiulie kiulaini, sasa siku hiyo nilimpeleka huyu dem getho badala ya kumalizana akaanza kuniambia oooh sijui leo sijajiandaa oooh leo sikuja kwa ajili hiyo mara leo nimekuja kuangalia chumba nk!
Sasa nikajiuliza anakuja kuangalia chumba kwani mimi napangisha chumba? Kweli nimekumbuka mbali sana na nimecheka sana.
Sasa nikajiuliza anakuja kuangalia chumba kwani mimi napangisha chumba? Kweli nimekumbuka mbali sana na nimecheka sana.