Nimekubali Magufuli ni intelligent man!

Nimekubali Magufuli ni intelligent man!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Rais Magufuli leo nimemkubali kwamba ni mtu intelligent sana na hii ni kutokana na uamuzi wake wa leo wa kwenda kutembelea Muhimbili uamuzi aliouchukuwa baada ya kwenda kumtembelea kigogo Bi Bisimba aliyelazwa Hospitali ya Aga Khan ambayo ni Hospitali binafsi sasa najaribu kufikiria kilichokuwa kinaendelea kichwani kwa Magufuli ni kwamba kwa hali ya kawaida huyu Bi. Bisimba alipaswa akalazwe Muhimbili Hospitali ya umma, kwanini akalazwe hospitali binafsi hilo swali alijiuliza Rais Magufuli, ndiyo maana akaamua kuunganisha safari na kwenda Muhimbili kutaka kujua ni kwanini?

Ni mtu intelligent tu ndiyo anayeweza kuoanisha matukio namna hii, kwa mtu wa kawaida kama Mbowe anaweza tu kuponda na kufikiri ni kwa ajili ya show lkn swali linakuja kama ni show kwanini baada ya Aga Khan iwe Muhimbili na siyo Sokoni Kariakoo au kwenye Daladala?
 
mama yangu wakati anaugua DR bingwa wa muhimbili alishauri akafaniwe kipimo regency hospital kwa kuwa wanamtaalum mzuri, ebu fikiria
 
Off course, ni intelligent kuliko Barbarosa ......................!!!
 
Hili nalo neno fikiria siku Magufuli akienda Kempiski Barbarosa atasemaje !.Huyu jamaa ni shida atakiwa na mke utakuta anamsifu Magufuli.

Off course, ni intelligent kuliko Barbarosa ......................!!!
 
Wakati wa kampeni alipokua anaahidi mambo ya afya alikua anawaza agha khan au muhimbili na hospitali za serikali kiujumla
 
"Rais ajaye atakuwa kijana kwa maana ya umri kama wangu wakati naingia Madarakani, Atakuwa Bora kuliko mimi... Hapa nilipo nahisi siku zinachelewa kwa jinsi nilivyochoka"-Mzee Jakaya Kikwete Feb 2015 akiaga Mabalozi wanaowakikisha Nchi za Kiafrika mjin Shanghai China
 
sasa natamani kujua je amepata jibu kwa nini Bi helen hakwenda Muhimbili na hayo majibu atayaweka hadharani au atayafanyia kazi kimyakimya au atayaacha kama alivyoyaona?
 
Ni nchi chache za kijinga unazoweza kukuta shule za binafsi nzuri kuliko za serikali na hospitali za private zikiwa nzuri kuliko za serikali. Highly stupid arrangement!
 
Mbowe mambo hayo hawezi kujua umuhim wake labda ku change CD maana ndio Kaz anayoiweza.
 
Ni nchi chache za kijinga unazoweza kukuta shule za binafsi nzuri kuliko za serikali na hospitali za private zikiwa nzuri kuliko za serikali. Highly stupid arrangement!

....wacha mbwembwe...!... nchi za kijinga maana yake nini? ondoka basi ukaishi kwenye hizo nchi unazoziona ni za kiwerevu..!mtu unakuwa na hoja muflisi kama "unadandiwa" na vijana !
 
Kutembelaa wagonjwa ni vizuri sana hata Mungu ametuagiza kufanya, hivyo, mimi naona atachoka kwani nchi yetu ni kubwa na uongozi ni hekima, busara na sayansi, Hivyo aunde timu binafsi za kumshauri na utekelezaji kuhusu Uchumu, Usalama, Afya, Elimu, Kilimo, Vyote hivi viwe na watu kutoka nje na wachache ndani ya nchi, Nchi za kuchukua hawa wataalam Israel,USA, German, Japani na Singapore.
Akitengeneza timu ya namna hii baada ya miaka miwili tutashudia Tz ikipaa kiuchumi.
 
....wacha mbwembwe...!... nchi za kijinga maana yake nini? ondoka basi ukaishi kwenye hizo nchi unazoziona ni za kiwerevu..!mtu unakuwa na hoja muflisi kama "unadandiwa" na vijana !

Kama huijui dunia funga mdomo. Hapa JF siyo sehemu ya kupiga makofi. Ufahamu ukiwa mdogo, subiri ukomae kidogo au sana kutegema uwezo wa akili yako. We unajiunga June leo hii unajadili mambo makubwa! Unadhani nchi zote zina heshimiwa sawa?
 
sasa natamani kujua je amepata jibu kwa nini Bi helen hakwenda Muhimbili na hayo majibu atayaweka hadharani au atayafanyia kazi kimyakimya au atayaacha kama alivyoyaona?

kwa akili yako unafikiliaje?
 
hawa wezi wanashida sana ... Mmesahau kuwa JK alianza kwa kasi zaidi yake ... Huyu bado anaongozwa remotely from Msoga ... Kasuku anauwezo wa kukariri milio mbali mbali ... wakati Mwingine hujiona kenge eti akinyeshewa na yeye anaingia majini kujiloweka zaidi ... Hili FUTUHI hatulikubali ...
 
Kutembelaa wagonjwa ni vizuri sana hata Mungu ametuagiza kufanya, hivyo, mimi naona atachoka kwani nchi yetu ni kubwa na uongozi ni hekima, busara na sayansi, Hivyo aunde timu binafsi za kumshauri na utekelezaji kuhusu Uchumu, Usalama, Afya, Elimu, Kilimo, Vyote hivi viwe na watu kutoka nje na wachache ndani ya nchi, Nchi za kuchukua hawa wataalam Israel,USA, German, Japani na Singapore.
Akitengeneza timu ya namna hii baada ya miaka miwili tutashudia Tz ikipaa kiuchumi.


Nchi hii ina kila kitu na wala hatuhitaji watu ktk nje kuja kutufanyia kitu chochote kile, sisi wenyewe tunaweza, wataalamu tunao wakutosha tu kinachokosekana mpaka sasa hivi ni Uongozi yaani mtu mwenye uwezo wa kuagiza na kusimamia hivyo Magufuli akifukuza kazi Wakuu wa vitengo vichache kwa uzembe waliobaki watajipanga na mambo yatakwenda, kumbuka akifiksi Muhimbili ina maana amefiksi Hospitali zote za rufaa TanZania kutakuwa na ripple effect vivyo hivyo na maeneo mengine!

WatanZania tunahitaji mtu wa kutenda na siyo kusema tu na kukemea bali ukikosea unakwenda na kila mtu anapaswa alijue hilo hivyo kutakuwa na umakini na kama mtu anafanya kosa basi litakuwa tu kosa lisilozuilika na siyo la uzembe, kwa uzembe tulionao TZ fukuza fukuza ni lazima hamna namna nyingine!
 
hawa wezi wanashida sana ... Mmesahau kuwa JK alianza kwa kasi zaidi yake ... Huyu bado anaongozwa remotely from Msoga ... Kasuku anauwezo wa kukariri milio mbali mbali ... wakati Mwingine hujiona kenge eti akinyeshewa na yeye anaingia majini kujiloweka zaidi ... Hili FUTUHI hatulikubali ...

Haijalishi anaongozwa na nani, Wananchi tuna macho na tunaona, tunamjua Magufuli tangu akiwa Waziri, kila Wizara aliyopelekwa aling'ara kwa ufanisi wa kazi hivyo hata kwenye uraisi pia haiwezi kuwa tofauti na ndio maana wengi wetu tukamchagua!
 
Back
Top Bottom