Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,102
Nadhani ndio kinachotokea hapaKabisa hilo halina kipingamizi.
namkumbuka marehem banza stone na wimbo wake ule ..mpende akupendae asiekupenda achana nae.
Nadhani ndio kinachotokea hapaKabisa hilo halina kipingamizi.
namkumbuka marehem banza stone na wimbo wake ule ..mpende akupendae asiekupenda achana nae.
Man umeongea fact lakin mchizi alishaoa sikunyingi... alaf mke wake mwanamke wa kawaida tu... sio hata superstar... wala c mtu wa kujishebedua mitandaoni.Dah.... Nani asiyependa pesa aisee...Leo hii Mark Elliot Zuckerberg akitangaza kutafuta mke.... hata wake za watu wataapply[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Anaogopa kuzini ndio mana.wenzio wanagonga kama 3yrs kwanza..... ndoa ni taasisi hatari sana bro.....unafikiri ni simple hivyo.....we endelea kutafuta pesa....watanasa tuu..
kuzini ndo mwenyeji wake....hajui anataka nini huyoAnaogopa kuzini ndio mana.
Ndio mumfundishe ajue.kuzini ndo mwenyeji wake....hajui anataka nini huyo
Nami nimeshangaaKwanini unatanguliza makabila yao?
Weeeeeeee mahati haitolewi kwenye akaunti namba weeeeeee in person. Unataka kuwa kama mchaga mwingine alinambia nitume baruwa kwa njia ya posta maana anajua ntaweka na hela ya kusomea baruwa sasa nlichokifanya nlituma na sikuweka hela nasikia alimtuma kaka yake wakaichukue baruwa wamletee yeyehuyu jamaa nimempenda kitu kimoja wala hana time na papuchi yeye anataka account namba tu ya kutumia mahari.una namba yake unipe nimpigie ?