Nimekosea wapi

Kwenye ile orodha ya wanaume wako wa zamani uliomtajia, Jay Mo kwa nini hukumtaja?
 
Yakivunjika kwa ajili ya sababu kama hizo, trust me; even u, don't want that kind of relationship! Kwanza kakosea kukufundisha gari badala akupeleke driving school kwene magari ambayo huenzi gonga ukuta hovyo. Ukizoea ndo aje akupe hayo yake. Yeye mwenyewe hakuanza kirahisi. Na huo wimbo alipaswa kukuvumilia, sababu angekuja kuijua tu. Literally, speaking ni utoto tu ndo unaendelea hapo
 
Hapo hajarasimisha tayari unafokewa na kutukanwa😳😳 Read between the lines.
 
Kwa mbalii nakuona unaandaliwa kuwa single mother.Kugongeza gari anakuzingua unadhani ataweza kukukabidhi ulitumie ?? Shirikisha akili achana na miteremko.
 
Hii tabia ya wapenzi kufundishana kuendesha magari sio kabisa, kwa nini asikupeleke driving school ukajifunze huko?
 

Nimekuelewa sana kiukweli


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Jamaa yako atakuwa na shida kwani ni lazima kupenda nyimbo za kila wasanii?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…