TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,536
Ohio sawa baba sasa hivi mwendo wa vifungu tu Kama hawasomi Mimi nasoma.kingai PGO , karibu kwa maoni na ushauri tafadhali.
nimeattach pale juu kiongozBaba Hilo desa linafichwa Kama almasi kwa sasa,maana hampaswi kuyajua yaliyomo Kama yamo.
Kwenye mtandao sijui wamelinasua au hakikuwepo tu toka mwanzo,mmm Ila mwaka huu wasiojulikana wanaoenda kujulikana kweupe labda walifute like janga mahakamani!!!!
Safi sana hii ndo raha ya Jamii Forum.nimeattach pale juu kiongoz
Hii ndo JFsina khiyana mkuu hii hapa
Wote watakuwa wanafeli sema wanafaulishwa tuPolice General Orders ni kwa un'gen'ge tu.. hili somo wanafundiswa CCP na ukifeli hupati upolice.
shukrani mkuu nimeanza kulisomasina khiyana mkuu hii hapa
Hata mimi naanza kusoma PGOOhio sawa baba sasa hivi mwendo wa vifungu tu Kama hawasomi Mimi nasoma.
Hiyo silaha hatari sana hata polisi hawajawahi kuiona na hawajui namna ya kuitumoaHabari wadau..!
Naombeni desa la Polisi General Order tena ikiwezekana la kiswahili nataka nipitie pitie kwa ajiri ya afya ya akili.
Ushauri au msuto?kingai PGO , karibu kwa maoni na ushauri tafadhali.