Habari za asubh naomba unisaidiye chuo kina toa labor story techinian kama unakijua lakintumia cheti cha 4m4 kwani ni kizuri sana soma laboratory technician coz, level 4. ukipata kaz utasoma dip. (level 6) ya maabala kwa ktumia matokeo ya chet (equivalence) then university. watu wanatoka kaka.