Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,674
- 14,091
Tubadilishane sijakuelewa hapo ????Mi mwenyewe nina bwana so tufanye kubadilishana tu🤣🤣🤣🥴
Wee atupelee yaani unataka mwanaume awe na mwanaume, mwe mwe mwe
Tubadilishane sijakuelewa hapo ????Mi mwenyewe nina bwana so tufanye kubadilishana tu🤣🤣🤣🥴
🤣🤣🤣Ing'oma 😍Tubadilishane sijakuelewa hapo ????
Wee atupelee yaani unataka mwanaume awe na mwanaume, mwe mwe mweView attachment 2738002
Wanasema kizuri kula na wenzio🤡Watu wa kwenye ndoa kwa kutushauri kuingia sasa, Mbona sisi hatuwashaurigi mtoke... Kama ni raha kwanini usivunge ukala raha zako kimyakimya?
Ila mpo vizuri, mama baraka huwa ananibeba usiku kama mtoto🤣🤣🤣Ing'oma 😍
🤣🤣🤣🤣 Mwambie mama haraka aache kula ndiz na parachichiIla mpo vizuri, mama baraka huwa ananibeba usiku kama mtotoView attachment 2738004
Ndizi za matoki🤣🤣🤣🤣 Mwambie mama haraka aache kula ndiz na parachichi
YeahNdizi za matoki
Daah! Ila mbeya ukikonda umetaka mwenyewe🤣🤣🤣🤣 Mwambie mama haraka aache kula ndiz na parachichi
Kiwira hii eti? 😋Daah! Ila mbeya ukikonda umetaka mwenyeweView attachment 2738010
Nimepakumbuka sana Mbeya waybackYeah
Karibu sana mkuuNimepakumbuka sana Mbeya wayback
Mko vizuri kwa vyakula vyote vinavyo hitajika ili kujenga mwili vya shambani na vya nyumbani kote vimefungashaKiwira hii eti? 😋
Nimekaribia hapo kwa watoto wa kinyakyusa mpo vizuri sitawasahauKaribu sana mkuu
Sawa, ngoja nilale Mimi🙏🙏🙏Nimekaribia hapo kwa watoto wa kinyakyusa mpo vizuri sitawasahau
Ndoa siyo ngum km unavofikili brooo....mwaka wa 13 huu nainjoi balaaa yaan huyu kaka hata akisafiri ucku mmoja najisikia shiida saaana,km una ndoa ngum pole hukubahatikasawa tuuachie MUDA utatuambia ukweli![]()
Time time time umeandika kwa hisia ila huo sio uhalisia wa ndoa yako huna huwezo wa kupenda hivyo wewe hata uandishi umekukataaNdoa siyo ngum km unavofikili brooo....mwaka wa 13 huu nainjoi balaaa yaan huyu kaka hata akisafiri ucku mmoja najisikia shiida saaana,km una ndoa ngum pole hukubahatika
Amina...🙏🙏🙏....Nawatakia kila la heri katika kutafuta mwenzi sahihi na kuunda familia yenye baraka. Endeleeni kusonga mbele kwa imani na matumaini, na hakika mtafikia lengo lenu. Tukutane kwenye upande mwingine wa ubachela, na tuwe na furaha tele pamoja!
Asante na Mungu awabariki!"