Nimekimbia FB nimekuja JF.

karibu utoto uache kule kule :kev:
 
huyu wako rafiki, komaa naye utafika tu mwaka huu.....

asante rafiki ila sijui kwann hanijibu mweeh!
ngoja niwe mpole nimbembeleze lolz! kirkou wa kwanza laazizi njoo basi wangu??
 
Last edited by a moderator:
asante rafiki ila sijui kwann hanijibu mweeh!
ngoja niwe mpole nimbembeleze lolz! kirkou wa kwanza laazizi njoo basi wangu??

Nakuja kipenzi changu, tupeane namba za simu basi.
 
Last edited by a moderator:
huyo wako kabisaaaaaaa,
hana ujanja na hatoki hapa..... lazima umkamatia kisawasawa
kweli nakuona rafiki umeshajipatia hapa..... mi na-book u-matron
Ndio huyu wangu tu.
 
ila huku uwe makini zaidi,huku ni hatari zaidi,mfano hapo juu kuna kibibi kina miaka kama 72 kimekuganda kinajifanya kina miaka 22!!!!teh teh teh!jf raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…