Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 #1 Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB.
Erickb52 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 18,554 Reaction score 11,485 May 26, 2013 #2 Humu utakutana na dada yako then sijui ukimtogoza then mkajuana mtaendelea kugegedana. Anyway UKIMWI unaua chunga kijana....ila km unautafuta GO on
Humu utakutana na dada yako then sijui ukimtogoza then mkajuana mtaendelea kugegedana. Anyway UKIMWI unaua chunga kijana....ila km unautafuta GO on
gfsonwin JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 18,272 Reaction score 20,714 May 26, 2013 #3 oh! karibu sana sana haya sema mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata. niambaie kwanza elimu, kazi na umri
oh! karibu sana sana haya sema mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata. niambaie kwanza elimu, kazi na umri
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,432 May 26, 2013 #4 Kirikou Wa Kwanza said: Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB. Click to expand... utawaweza wanawake wa mtandaoni?
Kirikou Wa Kwanza said: Nimekimbia FB, nimekuja JF, lengo na madhumuni natafuta mtoto mzuri wa kuoa, lakini asiwe na tabia za ki-FB, FB. Click to expand... utawaweza wanawake wa mtandaoni?
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #5 Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV.
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #6 Kwanini nisiwaweze?
Neylu JF-Expert Member Joined May 28, 2012 Posts 2,938 Reaction score 1,847 May 26, 2013 #7 Kirikou Wa Kwanza said: Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV. Click to expand... Mmmh... Kweli wewe Kirikou!
Kirikou Wa Kwanza said: Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV. Click to expand... Mmmh... Kweli wewe Kirikou!
E ESI JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 738 Reaction score 179 May 26, 2013 #8 Kimbilia tena hapa bootytalk.com, BOOTY TALK, booty talk, #1 black hardcore video series wapo wengi sana hapo.
Kimbilia tena hapa bootytalk.com, BOOTY TALK, booty talk, #1 black hardcore video series wapo wengi sana hapo.
gfsonwin JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 18,272 Reaction score 20,714 May 26, 2013 #9 Kirikou Wa Kwanza said: Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV. Click to expand... hata mm niko siriaz. elimu yangu darasa la saba ila nafanya kazi ya kuuza steshenari hapa manzese. pia nina ujuzi wa kupika wewe unaujuzi gani??
Kirikou Wa Kwanza said: Kiufupi nipo serious jamani, pia sina kazi. Elimu yangu ni kidato cha IV. Click to expand... hata mm niko siriaz. elimu yangu darasa la saba ila nafanya kazi ya kuuza steshenari hapa manzese. pia nina ujuzi wa kupika wewe unaujuzi gani??
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #10 ESI said: Kimbilia tena hapa bootytalk.com, BOOTY TALK, booty talk, #1 black hardcore video series wapo wengi sana hapo. Click to expand... ahsante!
ESI said: Kimbilia tena hapa bootytalk.com, BOOTY TALK, booty talk, #1 black hardcore video series wapo wengi sana hapo. Click to expand... ahsante!
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #11 gfsonwin said: oh! karibu sana sana haya sema mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata. niambaie kwanza elimu, kazi na umri Click to expand... umri miaka 23; Kazi mpaka rangi. Elimu form IV
gfsonwin said: oh! karibu sana sana haya sema mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata. niambaie kwanza elimu, kazi na umri Click to expand... umri miaka 23; Kazi mpaka rangi. Elimu form IV
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #12 Erickb52 said: Humu utakutana na dada yako then sijui ukimtogoza then mkajuana mtaendelea kugegedana. Anyway UKIMWI unaua chunga kijana....ila km unautafuta GO on Click to expand... Ahsante!
Erickb52 said: Humu utakutana na dada yako then sijui ukimtogoza then mkajuana mtaendelea kugegedana. Anyway UKIMWI unaua chunga kijana....ila km unautafuta GO on Click to expand... Ahsante!
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #13 gfsonwin said: hata mm niko siriaz. elimu yangu darasa la saba ila nafanya kazi ya kuuza steshenari hapa manzese. pia nina ujuzi wa kupika wewe unaujuzi gani?? Click to expand... Doh ujuzi me ninao mwingi tu, ushindwe mwenyewe.
gfsonwin said: hata mm niko siriaz. elimu yangu darasa la saba ila nafanya kazi ya kuuza steshenari hapa manzese. pia nina ujuzi wa kupika wewe unaujuzi gani?? Click to expand... Doh ujuzi me ninao mwingi tu, ushindwe mwenyewe.
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #14 Neylu said: Mmmh... Kweli wewe Kirikou! Click to expand... Tena Wa Kwanza.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,578 Reaction score 28,701 May 26, 2013 #15 Kidato cha nne kikubwa sana hicho mbona mie nliishia la 6A lakini nilipata mke???
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #16 Bujibuji said: utawaweza wanawake wa mtandaoni? Click to expand... Kwanini nisiwaweze? Labda wawe kama wa FB, hapo nitasanda mwenyewe.
Bujibuji said: utawaweza wanawake wa mtandaoni? Click to expand... Kwanini nisiwaweze? Labda wawe kama wa FB, hapo nitasanda mwenyewe.
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,992 May 26, 2013 Thread starter #17 asigwa said: Kidato cha nne kikubwa sana hicho mbona mie nliishia la 6A lakini nilipata mke??? Click to expand... Doh, kumbe naweza kufanikiwa, lakini sitaki awe na tabia za ki-FB, FB.
asigwa said: Kidato cha nne kikubwa sana hicho mbona mie nliishia la 6A lakini nilipata mke??? Click to expand... Doh, kumbe naweza kufanikiwa, lakini sitaki awe na tabia za ki-FB, FB.
gfsonwin JF-Expert Member Joined Apr 12, 2012 Posts 18,272 Reaction score 20,714 May 26, 2013 #18 Kirikou Wa Kwanza said: Doh ujuzi me ninao mwingi tu, ushindwe mwenyewe. Click to expand... kama upi sas? mie nimekutajia wangu. halafu hujasema umri wako mm ni miaka 22 na nataman kweli kuolewa.
Kirikou Wa Kwanza said: Doh ujuzi me ninao mwingi tu, ushindwe mwenyewe. Click to expand... kama upi sas? mie nimekutajia wangu. halafu hujasema umri wako mm ni miaka 22 na nataman kweli kuolewa.
The secretary JF-Expert Member Joined Jan 14, 2012 Posts 4,148 Reaction score 2,540 May 26, 2013 #19 gfsonwin said: oh! karibu sana sana haya sema mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata. niambaie kwanza elimu, kazi na umri Click to expand... upo? gfsonwin Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
gfsonwin said: oh! karibu sana sana haya sema mm nipo hapa toka mwaka jana natafuta kijana wa kunioa lakini sijampata. niambaie kwanza elimu, kazi na umri Click to expand... upo? gfsonwin
CharmingLady JF-Expert Member Joined Apr 16, 2012 Posts 18,304 Reaction score 12,997 May 26, 2013 #20 Nawatakia kila la heri dada gfsonwin na kaka Kirikou Wa Kwanza Kaka umepata mke... yaan ni mrembo aliwahi kuwa miss manzese mwaka juzi! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Nawatakia kila la heri dada gfsonwin na kaka Kirikou Wa Kwanza Kaka umepata mke... yaan ni mrembo aliwahi kuwa miss manzese mwaka juzi!