Nimekatwa Shillingi 70,000 na Vodacom

Nimekatwa Shillingi 70,000 na Vodacom

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Jana nilikuwa sehemu nikawa nina mahitaji ya haraka ya pesa. Huwa sina tabia ya kujikopesha maana naonaga ni kuingia gharama kusiko kwa lazima ila sikuwa na jinsi.

Sasa nikasema nijikopeshe shilingi 370,000 kupitia MPAWA, Vodacom wakakata 70,000 juu kwa juu. Nimewapigia wanasema ndiyo makato yao hayo 19%.

Huu uhuni utaisha lini? Unakata makato hayo kwa hela unayotaka urudishiwe ndani ya mwezi mmoja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom