Nimekataliwa kisa........!


"Utapoteza pesa nyingi sana kuwasaka/kufukuzia wanawake, lakini hautakosa/poteza wanawake ukiisaka pesa.....".fuata ushauri wa gfsonwin
 
Pole mwaya!
Msamehe ni mfumo tu wa maisha angekubali angekupa kizunguzungu ungeweza kufanya hata ambacho hujawahi kufanya ili umfurahishe yeye!
Kakunyima kunde kakupunguzia mashuzi usihuzunike! Nambie ungefanyaje angekwambia anataka kodi ya nyumba, kwenda saloon mala Luku imeisha!
 
kakukataa kikubwa, katafuta udhaifu ili uamini kweli ananipenda ila fedha ndio kigezo!
 

Usipende wanawake kama kama huna hela kwa mfuko
 

mkuu huyu msichana nampenda kwa dhati na wala sikuwa na nia ya kupita,nilitaka awe wa milele
 

Tafuta kazi kijana. Hivi hujui siku hizi hapendwi mtu inapendwa wallet tena wanasema hile iiyotuna.
 

kama huu ndio mfumo wa maisha basi sisi wanyonge tusio na fedha tutaendelea kuumia aisee
 
kwanini pesa ipewe kipaumbele katika mapenzi na si upendo wa kweli kutoka moyoni?[/QUOTE

MTAKULA NINI HATA KAMA MNAPENDANA TOKA MOYONI?HILA HUYU WAKO LUGHA ALIYO HITUMIA SIDHANI KAMA ANA KUPENDA.
 
sasa wewe nae sijuwi hujielewi,tafuta kazi bhana acha mambo ya wanawake,mambo yakiwa mazuri utapata mwingine

najielewa sana mkuu,natafuta sana sema mambo hayajakaa kwenye mstari
 
halafu we una sura mbaya; kama ndiyo picha yako halisi ; ungekuwa handsome angekuajiri kama shamba boy huku ukila mzigo taratibu

hiyo ndio sura yangu na ndio jinsi nilivyoumbwa,nimejikubali hivyo nilivyo.
 

huyo mpenda pesa bora kakukataa huku nje ya ndoa jeungeenda kufilisika huko mbele ingekuwaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…