Nimekataa kumpongeza Mrisho Gambo

Mada hii inaonesha hakuna ushirikiano kati ya akili, moyo na sehemu nyingine ya mwili. Akili inasema humfahamu Gambo lakini mdomo unaimba sifa za Gambo.
 
Ubunge wa Asante bwana mkubwa ndo madhara yake haya akili inakuwa haitoi ushirikiano kuchanganua mambo..unasifia kitu ambacho hukijui afu kwa unafiki una quote hadi vifungu vya biblia..msiwe mnapenda sifa za kijinga fanyeni kazi
 
Toka DR.SLAA aondoke CDM hakuna wakuaminika tena.Nilikuwa nafikiri Prof. angetusaidia kueleza ukweli na yeye kimya,basi.........................................................................................................
 
Kimsingi mimi simfahamu sana na sina maelezo mengi kuhusu mtu niliyeamua kumzungumza leo............

Kuwa Kada wa CCM kweli yahitaji kujitoa fahamu to the maximum
 
UKUTA unawapa shida sana....nazidi kuamini kuwa Chadema imekua kimkakati tofauti na zamani.
 
Mkoa wa Arusha unakufa, biashara zimesimama, utalii unadorora, mahoteli yanafungwa kwa sababu za kipuuzu na upuuzi wa mtu mmoja na kijikikundi chake.

Kusimama biashara,utalii kudorola,kufungwa kwa mahoteli ni janga la Taifa haliko mkoa wa Arusha pekee yake,aliyesababisha kutokea kwa hali hiyo ana julikana na sababu zake zinajulikana huyo ndiye uliyemtusi pamoja na kijikundi chake.
 
Hueleweki,Mara unaipongeza CCM na UVCCM ,Mara unampongeza Mungu!
Hujui kwamba Mungu Mwenyezi hajangamishwi na siasa ? Mungu aapenda wema,Upendo na haki.
CCM mnapenda siasa,ghasia na dhulma ambazo ni chukizo kwa Mungu
Hahahahahahaha umenichekesha Sana Mkuu,eti anampongeza Mungu!!!
 
Ukawa wanachuki na kila mtu mwenye mafanikio.
 
Yaani mwenye sifa zote ulizomwaga hapo ni mtu unayekiri kuwa haumfahamu! Naomba basi unielekeze kitabu kinachomuhusu kinaitwaje ili na mimi nimfahamu kupitia historia yake!
Labda una mahaba nae lakini Hugo Gambo hamfikii hata kidogo Mdee,Mnyika, Katani s.Katani, Heche, n.k. Acha sifa za kitoto.
 
Hivi ni kweli kwamba ndani ya CCM yoote,fisadi alikuwa ENL pekee??

Kwakweli msipojitambua wanasiasa watavipasua vichwa vyenu sana!
 

Mkuu umeniwakilisha. Mawazo yangu ni sawa na yako. Hao watu ni wanafiki wa kiwango cha juu. CCM ndio ngome ya ufisadi na wengine mtukufu ameapa kuwalinda kwa gharama zote.
 
tetesi la kuivunja uvccm,sasa ndo naamini ni kweli.arusha hawakai wajinga kama wa songwe.kule ni madume tena ya mbegu.subiri uone
 
Kwakweli mimi ndio maana siwezi kujitokeza na kujiita mwana CCM na kujiunga UVCCM, nitabaki tu naipigania CCM yangu kwenye eneo langu japo ni kijana, kila nikisoma bandiko la mtu ayejiita UVCCM huwa napatwa na aibu japo nipo peke yangu, hivi nyinyi UVCCM huwa mnasoma article zozote ili ziwasaidie kwenye kujenga hoja zenu ili muwakilishe kitu kinachoeleweka na kuvutia kudraw as an example, aisee kama kweli nyinyi ndio mnaoandaliwa kuja kushika nyazifa za juu huko mbeleni naona giza au kuna haja ya kuwaombea nadhani.
 
Hakika,umenena kweli.CCM bado itaedelea kutoa viongozi mbalimbali wa nchi hii kwa karne nyingi zijazo...na hata kwa upande wa upinzani wataendelea kupata wagpmbea wa nafasi mbalimbali kuanzia mashinani hadi uraisi kutoka CCM...hili halina ubishi.
unadadavua kwa kutumia kiungo gani cha mwili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…