nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
- Thread starter
-
- #21
Sasa mkuu swali langu ni kwamba. Uliwezaje kuwa unapiga punyeto wakati mashine haisimami??
Au kwenye punyeto mashine iko flesh lakini papuchi mambo ndo yanachange??
Hivi huko nyuma ulishawahi kuwa na demu na ukamto#ba bila tatizo? Au tangia uanze hujawahi fanikiwa ingiza?Mkuu na kama tatizo lipo kisaikolojia nitawezaje kulibadilisha mindset yangu kwa mpaka nimekuwa nina hofu kubwa sana pindi tu ninapofikiria habari ya mapenzi
Hivi huko nyuma ulishawahi kuwa na demu na ukamto#ba bila tatizo? Au tangia uanze hujawahi fanikiwa ingiza?
Unforgetable
Sasa wazee wafursa wamesha fika nakutegeneza mazingira ya kupata wateja wapyahapo ndipo tatizo ulipoliokota...shukuru mungu ameishia kukufanyia hivyo huyo mume mwenzako maana angeweza hata kukumaliza kabisa!
Kijana wangu aliwahi kufanya kosa kama lako,Na yeye Operating System ilizima kama wewe then baadae akapata stroke ya upande mmoja bahat nzuri ilimpata hali hii tukiwa kisangani/Congo DRC... pale pana wataalamu wengi wazuri ndani ya wiki moja baada kumpata mtaalam OS ililudi iliinuka na baada ya miezi miwili stroke nayo ikawa imepotea kwa zaidi ya 80%
Maswali niliyokuuliza ndiyo niliyomuuliza na mwanangu pia alipopatwa na tatizo kama lako, kwasasa yupo safi na ana familia yake
.
.
.
Kijana ulipo ni hatua ya mwanzo kuelekea ulemavu wa milele au kifo!,fanya uhangaike kijana! miaka 25 ulitakiwa uwe unaanza kujenga future yako na sio kujiandaa na kabuli lako.
Ushawahi piga lakn mkuu
Hii account ina miaka zaidi ya 7 humu jf na sijawahi kukutana na mtu yeyote ya ana kwa ana au kutoa usaidizi wa jambo lolote zaidi ya ushauri tuu,hata kumuelekeza mtu kwamba nenda kwa mtu flan sijawah na wote waliowah kuomba niwaelekeze sehem sijawah kuwapa mwongozo wowote,Sasa wazee wafursa wamesha fika nakutegeneza mazingira ya kupata wateja wapya
Habari za asubuhi wakuu..
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina matatizo makubwa ambayo yanahitaji Msaada mkubwa kwa kuwa nimekata tamaa kwa maisha niliyonayo,,
Nimeshindwa kuweza kufanya mapenzi na wasichana zaidi ya wawili kutokana na Hali niliyokuwa nayo uume wangu umeshindwa kabisa kusimama na hata ukisimama unakuwa legelege na pia nimepoteza hisia kabisa na Wanawake
Baada ya kuona Hali niliamua kujitibu mwenyewe kutokana na ushauri mbalimbali unaotolewa jf kwa kufanya mazoezi, kula chakula kizuri, vitunguu swaumu na tangawizi kwa Muda wa miezi minne na kuacha punyeto.
Jana nimejaribu kuona kama nimepona uume uliweza kusimama mwanzo tu nilipotaka kuingiza Nimeshindwa kabisa kwa kulege
Wakuu nimekata tamaa kwa hii najiona si kitu tena nimekuwa mtu wa mawazo sana naumia naombeni Msaada mwanaume mwenzenu nirudi kwa Hali ya kawaida
UrologyNenda hospital ukafanye vipimo.Kaonane na dactari wa uorogy( sins uhakika na spelling)
Habari za asubuhi wakuu..
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina matatizo makubwa ambayo yanahitaji Msaada mkubwa kwa kuwa nimekata tamaa kwa maisha niliyonayo,,
Nimeshindwa kuweza kufanya mapenzi na wasichana zaidi ya wawili kutokana na Hali niliyokuwa nayo uume wangu umeshindwa kabisa kusimama na hata ukisimama unakuwa legelege na pia nimepoteza hisia kabisa na Wanawake
Baada ya kuona Hali niliamua kujitibu mwenyewe kutokana na ushauri mbalimbali unaotolewa jf kwa kufanya mazoezi, kula chakula kizuri, vitunguu swaumu na tangawizi kwa Muda wa miezi minne na kuacha punyeto.
Jana nimejaribu kuona kama nimepona uume uliweza kusimama mwanzo tu nilipotaka kuingiza Nimeshindwa kabisa kwa kulege
Wakuu nimekata tamaa kwa hii najiona si kitu tena nimekuwa mtu wa mawazo sana naumia naombeni Msaada mwanaume mwenzenu nirudi kwa Hali ya kawaida
hold on.. hold onNishawahi kutembea na mke wa mtu ndio
Nyeto inaimarisha mfumo wew..Iwe funzo kwenu mnaopenda punyeto. Itakuchukua muda kurudi kwenye reli usitarajie matokeo ya haraka.
Badilisha mfumo wa maisha na uache ujinga wa punyeto mara moja.
kondomu achana nazo, KONDOM NIUJINGAChakula na kula tu milo mitatu kwa siku ulisimama vizuri sana mwanzo unasimama tena mkuu shida kwenye kuingiza na hasa nikivaa kondomu
Mkuu pole sana...
Kuna hizi mbegu zaitwa chia seed (sijajua spelling zake vizuri), husaidia saana,kilo nazani huuzwa kati yash 19,000/= hadi 25,000/= husaidia saana,enyewe waweza kua waweka kidogo kwenye chai au ata maji ya kunywa
Hubalance hormones,pia ata kwa wale ambao hutoa mbegu,kama anacheua vile...itakusaidia kwa tatizo lako pia (trust me)
Pia,Jaribu na juice ya tende
UANDAAJI
1. Chemsha maziwa freshhadi yachemke kama vile wanywa chai
2.Yaache yapoe
3.Andaa tende,kwa kuondoa mbegu
4.weka kwenye maziwa yaliopoa
5.Weka kwenye blenda,kwaajili ya. kusaga
6.Baada ya kusaga weka kwenye bakuli,then chuja...waweza tumia kitambaa au chujio
6.apo tayari...(waweza tunza kwenye friji,au ukanywewa ikamalizika)
*usafi ni wa muhimu (pia nimeandika haraka haraka,but kwa inshu ya makadilio au uwiano wa mchanganyo waweza angalia mwenyewe
NB,Mazoezi ni muhimu,pia punguza matumizi ya vileo au sigara kama watumia ,na pia kama wajichua acha kabisaa,na jaribu kuepuka kupatamsongo wa mawazo,pia usipaniki au kupania shughuli enyewe
Nenda hospital ukafanye vipimo.Kaonane na dactari wa uorogy( sins uhakika na spelling)
Iwe funzo kwenu mnaopenda punyeto. Itakuchukua muda kurudi kwenye reli usitarajie matokeo ya haraka.
Badilisha mfumo wa maisha na uache ujinga wa punyeto mara moja.
Nyeto inaimarisha mfumo wew..
kondomu achana nazo, KONDOM NIUJINGA