mjasiliaupeo
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 2,151
- 3,066
Anaitwa dr akbar, ni miaka imepita am not sure kama yupo. Ila nilifika aghakan nikawaambia nahitaji kukutana na mtaalam wa masuala ya uzazi kwa mwanaume ndio wakanipa huyo dr. Approximately ilinitoka 1.4m for medication and therapyWe ndo umeota suluhu..tuambie nahuyo therapist anaitwa Nani wa aga Khan napia gharama ulizotumia kiasi gani