Nimekata tamaa na CHADEMA!

Marire , mimi nakufahamu vyema juu ya mrengo wako wa kisiasa humu jukwaani.Lakini unaona wenzako wanavyoanza kukutukana na kukukejeli! hivyo ndivyo hata wale waliojaribu kushauri walitukanwa na kukejeliwa, wengine wakakata tamaa wakaacha na wengine wanavumilia wanaendelea. Nakushauri ili usipate shock sana, wekeza zaidi katika kujadili mijadala ya jumla ya kitaifa zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wala sikushangai kwa wewe kukata tamaa, SIASA za TZ ni kama kamari vile............kila unayemsogelea ni mjanja kwa staili yake, hata wale unaodhani labda uwawaamini pia ukichunguza sana unagundua kuwa walikuwa ukoo mmoja na wenzao ila waliparanganyika tu kutokana na sababu kadha wa kadha......pole sana.
 

Muache kamanda apumzike kutumika,usishangae kesho Mwita Maranya,Mikael P Aweda wakafuata.Mzito Kabwela akitoka kitandani kwa heka heka za ........... alizozipata Kalenga nae ataungananao.Ni hatari vijana wanajitoa kuandamana,kupambana na polisi,kuteka watu,kukesha mitandaoni,kufungwa na kulawitiwa halafu viongozi wanaponda raha na kujitengenezea mazingira ya kuendelea kuwatumilia kisiasa.
 
mbowe, slaa, lema na mtei wanaiua chadema,,.anguko la chadema halizuiliki.
 
Aya nenda lumumba ukachukue buku saba yako!

yaani wewe ingekuwa ni mtihani ungepata division_0
umeelewa nilichoandika lakini?
hawa ma GT wa hili jukwaa wameenda wapi? uwiii
kuna watu wapo CCM na chadema ila hawajui kwanini wapo huko...
 
Ajashindwa zt wala ajashindwa mbowe na slaa alieshindwa cdm ? Ndugu
 

mkuu wangu asante sana,ila kwa sasa kwa kusema ule ukweli wa moyoni nimehamia jukwaa la picha,ujasiriamali na hoja mchanganyiko,miaka mitano imeisha tuliowapa majimbo hatuna tunachoweza kijisifia kwao hasa kwenye kampeni zijazo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Marire umeona wenzako mliokuwa mnashirikiana kututukana Leo wamekugeuka na kukuita buku Saba?
 
Last edited by a moderator:
Khaa!! Mnyika huyu aliyewatapeli wanaubungo? Tunamuomba mungu amuweke hai hadi 2015 imkute :A S embarassed:
 
Khaa!! Mnyika huyu aliyewatapeli wanaubungo? Tunamuomba mungu amuweke hai hadi 2015 imkute :A S embarassed:

Lema kiwanja cha hospitali amebadilidha matumizi na kuwa binafsi ya familia yake,trekta nalo ameuza.
 
Mkuu Marire umeona wenzako mliokuwa mnashirikiana kututukana Leo wamekugeuka na kukuita buku Saba?

hahaha,mkuu Yote maisha ila wewe kwa comments za unasitahili matusi kwa kweli!
 
Last edited by a moderator:
mkuu wangu asante sana,ila kwa sasa kwa kusema ule ukweli wa moyoni nimehamia jukwaa la picha,ujasiriamali na hoja mchanganyiko,miaka mitano imeisha tuliowapa majimbo hatuna tunachoweza kijisifia kwao hasa kwenye kampeni zijazo

Mkuu, sasa na sisi tulioingia siku za karibuni tufanye nini ? yaani ni confusion! na ndio maana tunajaribu tu kutoa vijiushauri vya hapa na pale ila majibu tunayoyapata! dah!

Mfano kuna siku niliandika;

Lakini reaction yake ilikuwa ni very negative, na mifano mingine mingi ila kwa kuwa mimi naamini nchi hii hujengwa na wananchi na wananchi ni mimi na wewe ndio maana nakushauri usikate tamaa sana.endelea kufikiria alternative inayoweza kusaidia kusukuma maendeleo yanchi mbele.
 

na ccm ni mijizi tu,hakuna cha kumtetea mnyonge kwa ccm wanaangalia matumbo yao,waalimu na madaktari wanaandamana karibu kila mwaka halafu unakuja na hoja za ukasuku huku jf
 
Last edited by a moderator:
Karibu #team no chama.

Chadema ni busha,ccm ngiri.

Yote magonjwa ya pumbu.

Usipokuwa na chama jf hainaga stress
 
Kila mtu mwenye akili timamu anayeogopa dhambi lazima aichukie chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…