mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,717
- 11,917
Mjadala wowote unaohusu kupambanisha dini kwenye masuala mapana ya kitaifa haupaswi kuungwa mkono kwa namna yoyote ile.
Nimejiuliza sana hivi hizi Taasisi kukanusha Habari zenye Ukweli kuwa ni Uongo ni kwa faida au kumlinda nani..?
Tuwe makini kuna ajenda ya udini inasikumwa ku divide and Rule.
Nimejiuliza sana hivi hizi Taasisi kukanusha Habari zenye Ukweli kuwa ni Uongo ni kwa faida au kumlinda nani..?
Tuwe makini kuna ajenda ya udini inasikumwa ku divide and Rule.