Agnes Madaa
Member
- Aug 29, 2023
- 93
- 169
1st of all niwashukuru nyoote mliofunguka maoni yenu, truth of all yanatia hamasa na kidogo mtu unapata mwangaza wa kuthubutu
Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa matunda yaliyokatwa katwa. Hence, siku ya kesho naingia kulangua matunda yangu although nimeshauriwa kuanza na matunda ya 15,000 na best angu hapa. Kesho ntanunua vile vipackage pamoja na deli langu la kuanzia maisha
Jana jioni niliamua kutembelea posta, kariakoo na Sinza kujionea mwenyewe ni wakina nani nitakuwa nawauzia. Very shameful, aibu jamani nyie, but hakuna namna naeza fanya, nitakomaa hivyo hivyo, sijui watanichangia!? 🤔 They are too busy, yaani zaidi ya busy
Naomba kufahamu:
Wapi ni bora zaidi kulangulia? Mabibo au Buguruni?
Vile vifungashio nitavilangulia wapi kwa bei nafuu?
Nianzie kuzungukia wapi na deli langu, Sinza ama Posta? Jamani msinichoke, I need your presence ili nipate ujasiri, natamani hata muongozane na mimi mnipe moyo
Nakwenda kupita mitaa ya Gaza jamani
Nimefikia hatua nimeafiki biashara ya kutembeza mchanganyiko wa matunda yaliyokatwa katwa. Hence, siku ya kesho naingia kulangua matunda yangu although nimeshauriwa kuanza na matunda ya 15,000 na best angu hapa. Kesho ntanunua vile vipackage pamoja na deli langu la kuanzia maisha
Jana jioni niliamua kutembelea posta, kariakoo na Sinza kujionea mwenyewe ni wakina nani nitakuwa nawauzia. Very shameful, aibu jamani nyie, but hakuna namna naeza fanya, nitakomaa hivyo hivyo, sijui watanichangia!? 🤔 They are too busy, yaani zaidi ya busy
Naomba kufahamu:
Wapi ni bora zaidi kulangulia? Mabibo au Buguruni?
Vile vifungashio nitavilangulia wapi kwa bei nafuu?
Nianzie kuzungukia wapi na deli langu, Sinza ama Posta? Jamani msinichoke, I need your presence ili nipate ujasiri, natamani hata muongozane na mimi mnipe moyo
Nakwenda kupita mitaa ya Gaza jamani