Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Karib sana bebii. Jiskie upo honeymoon
Mhhhh!!! bebii naona hapa unapata special welcome....
Halfu wewe ujue nakudai................
Karib sana bebii. Jiskie upo honeymoon
heheh usjali honey nitalipa na interest, btw unajiskiaje? yaani nimepoteza nuru ya macho kabisa walahi, usiulize sababu pliz.Mhhhh!!! bebii naona hapa unapata special welcome....
Halfu wewe ujue nakudai................
heheh usjali honey nitalipa na interest, btw unajiskiaje? yaani nimepoteza nuru ya macho kabisa walahi, usiulize sababu pliz.
khaaaa! yaani majuzi tu nilikosea nikamwita waifu wa jirani Keren Happuch (kupenda kubaya wajameni), nashkuru alinielewa baada ya kumpa maelezo kidogo. Infakti alisema una bahati sana kwa kunitia uchizi mpaka nikawa sijielewiYaani na ufanye haraka sana kulipa, otherwise natuma polisi.................sababu ya kupoteza macho ni kwa sababu nakudai........
khaaaa! yaani majuzi tu nilikosea nikamwita waifu wa jirani Keren Happuch (kupenda kubaya wajameni), nashkuru alinielewa baada ya kumpa maelezo kidogo. Infakti alisema una bahati sana kwa kunitia uchizi mpaka nikawa sijielewi
Hahahahah.............sasa hapa ndo unaanzisha kesi nyingine........ulikuwa na huyo wife wa jirani yako...mpaka mkaanza kupeana jina langu???!!!!.....NIMENUNA
Usnune honey! hela ya make up za kukunjulia ngozi za uso sina aisee, nimefulia. Waifu wa jirani ni mke wa mtumishi wa Mungu, wala usihofu, jana tu alitoa mapepo wanne wa jinsia tofauti.
khaaaa! yaani majuzi tu nilikosea nikamwita waifu wa jirani Keren Happuch (kupenda kubaya wajameni), nashkuru alinielewa baada ya kumpa maelezo kidogo. Infakti alisema una bahati sana kwa kunitia uchizi mpaka nikawa sijielewi[/QUOTE]
Sasa mimi natangulia home,.............hope leo utawahi kurudi... (Ujue nimefurahi kukuona, na uwe na weekend njema)
heheheheh...eti mtumishi wa mungu...hebu angalia haya maneno hapo kwenye red...................mhhhh!!!!
khaaaa! yaani majuzi tu nilikosea nikamwita waifu wa jirani Keren Happuch (kupenda kubaya wajameni), nashkuru alinielewa baada ya kumpa maelezo kidogo. Infakti alisema una bahati sana kwa kunitia uchizi mpaka nikawa sijielewi[/QUOTE]
Sasa mimi natangulia home,.............hope leo utawahi kurudi... (Ujue nimefurahi kukuona, na uwe na weekend njema)
Wala usijali honey, nafunga ofisi mida hii hii ( mwenzio nimesahau hata tarehe yangu ya kuzaliwa baada ya kukuona)
Karib sana bebii. Jiskie upo honeymoon
Unajua jana wakati napiga mswaki, nikagundua nafsi inanisuta sana aisee kwanini skumkaribisha bebii.daah kumbe nilikaribishwa hv hata sijawai kuona hii thread ngoja niipitie vizuri?
Dua yako ikubaliwe mkuu, nipo rumande hapa sjalipa bili ya umeme ya mwezi ulopita.....uko naye honey moon?