nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
Mkuu kadi ya CDM utaichukulia wapi? Nasikia Ole Millya na Mawazo wanaandaliwa karamu kubwa na watakabidhiwa kadi kijijini kwao (Millya). Nawe wapi mkuu?
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
nimetafakari sana juu ya hiki Chama nimeona mimi kama kijana ndio natakiwa niwe kiini cha mabadikiko katika nchi yangu. Nimeamua nijivue gamba rasmi. Na sasa naingia rasmi CDM.
Dunia yangu chaguo langu.
CDM bhana kumbe ndo maana Nape alisema mnajitekenya na kucheka wenyewe!! Lakini chama kikikosa wanachama si vibaya kujifariji kwa namna hii!! ungeonekana mzalendo sana kwa kueweka ID yako halisi ili uvutie wengi, si ajabu ukawa ndo ule padri mzinzi!!
Mkuu kadi ya CDM utaichukulia wapi? Nasikia Ole Millya na Mawazo wanaandaliwa karamu kubwa na watakabidhiwa kadi kijijini kwao (Millya). Nawe wapi mkuu?