Nimejitahidi ila imeshindikana kukufanya usiwe single mother

Nimejitahidi ila imeshindikana kukufanya usiwe single mother

Nguzo ya uhusiano bora ni upendo , kama hiki kitu hakipo hata ufanye nini mapenzi yatakusumbua tu, kama umeona upendo hakuna basi tafuta mwingine maisha yaendelee, raha ya uhusiano ni furaha kwa pamoja sio huyu ananuna huyu anacheka
 
Hapana mkuu. Mke hatafutwi kwenye social networks
Mke hutafutwa/hupatikana popote iwe kanisani, msikitini, msibani, kwenye ngoma, disco, bar n.k. mkuu. Kikubwa wewe una orientation ya wapi maana huwezi pata mke kwenye nyumba za ibada ilihali nyumba yako wewe ya ibada ni bar na disco. Na ukilazimisha vinginevyo yatakukuta ya kukukuta kama hizi nyuzi zako za masikitiko unazotuletea hapa.

Na kutokana na haya ninayokwambia hapa kwa uchache kabisa jitathimini haraka sana kama kweli una orientation inayofanana na huyu mwanamke. kuzaa si tatizo hata wewe unaweza kukataa kuishi na mwanamke uliyezaa nae baada ya kugundua ana tabia na mienendo isiyoendana na wewe hata kama anakulazimisha kuishi nae atakataa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom