Nimejiondoa rasmi CHADEMA

Nimejiondoa rasmi CHADEMA

dua la kuku halimpati mwewe na huyo kibaraka wenu siku zake zinahesabika.
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

Mkuu umefanya maamuzi Mema sana.
 
Unamfahamu kocha wa azam??ukimjua wala sina tatizo na maneno yako
 
sixgates mwenzako huyu haya ndiyo matunda ya Lema na wenzako.
 
Last edited by a moderator:
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

Kwa jina lako hilo. Salum kweli ulipambana
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh
Wasalimie
 
hongera yako maana ungesubili kutolewa ni aibu sana vipi umejiondoa CHADEMA unaenda kujiingiza wapi sasa?
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

Inaonekana ulifuata helicopiter wewe!
Wengine tupo toka 2000 na hatuondoki ng,o maana tunajua wapi tumetoka,tupo wapi na tunaenda wapi.
 
ndiyo ,nimejiondoa kwenye chama cha ubabaishaji ,viongozi wanabariki matusi kwa viongozi wenzao ...nilijiunga chadema mwaka 2010 nikiwa na matumaini makubwa lkn sasa mhhhh

Bye bye shida....wasalimu Lumumba mafisadi,majangili na wauza sembe uendako
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Vijana werevu wameshatambua hilo na wanajitoa mmoja baada ya mwingine.

Chama kinachojiita cha demokrasia hakiwezi kuficha hesabu za mapato na matumizi...
 
Inaonekana ulifuata helicopiter wewe!
Wengine tupo toka 2000 na hatuondoki ng,o maana tunajua wapi tumetoka,tupo wapi na tunaenda wapi.

Wewe inawezekana uko makao makuu ya chadema Kinondoni.

Pesa zote za ruzuku zinaishia Kinondoni. Wilaya hazipati hata shilingi za kujenga chama, watu wanajitolea. Kinachosikitisha ni kwamba watu hawa wanaojitolea wakitoa maoni juu ya mwenendo wa chama hawasikilizwi.

Vijana ndani ya chadema wanatumika kama miili ya maandamano tu...
 
By 2015 mamluki wote mtakua mmeshajitoa. Sixgates amesema bado kuna wengine watafuata nyendo zake. Tunashukuru kwa kuipunguzia kazi chama. Msisahau kumuuzia michemba kadi zenu. Mtapata donge nono.
 
Mipango mingine ya kitoto kweli, yaani mpaka wiki iishe kutakuwa na watu wanajisajili kila siku na kuandika kuwa wanajitoa Chadema ......wengine hata hapa jamvini ukiangalia waliowahi kuandika kitu gani chenye substance huwezi kukuona , ila wanafikiri na wao ni w u muhimu ...........mipango ya kitoto kama ule mchezo wa KOMBOLELA ....
 
Back
Top Bottom