Atoto ulishajichagulia kati ya wote waliokuja pm tokana na tangazo lako?sweetlee umedondokewa huku, hebu ukuje.
NGOJA NI REFRESH BROWSER KWASABABU SIJAONA KITU MPAKA SASA
MKUU Sakayo UMEMWONAJE HUYO BINTI ANAYEZUNGUMZIWA
Hata mimi huwa hainiingii akilini.Hivi huwa na jiuliza inawezekana vipi mtu kupenda id fake inayomilikiwa na mtu asiye mfahamu wala kumuona?
Hawakuja.Atoto ulishajichagulia kati ya wote waliokuja pm tokana na tangazo lako?
Vijana wengi hawapendi kufuata protakali za humu ndani. Kwanza kupenda sio kitu kibaya, lakini ili mtu apende basi anapaswa kupitia mambo kadhaa ili kukamilisha kile anacho kiamini
Tuache xenophobia...
Hata mimi huwa hainiingii akilini.
Hawakuja.
Mapenzi yametaradadi...
Sweetlee ukuje huku kuna moyo unasukuma maandishi yako
KhaaaaAisee...!!
Siku nikija iweka ID yangu fake ya Kike mtakuja kufa...
Unapaswa kujizuia ku fall in love na mtu humjui
unaweza kuvutiwa but ukisha fall na mtu humjui unaweza kuwa dissapointed mkikutana
hata hivyo sweetlee ni msichana mwenye mvuto
Kuna ID mbili.sweetlee umedondokewa huku, hebu ukuje.
Akikujibu uniiteUshapata mume weye?