Usiku nimeota nacheza na majoka
Mh sasa jioni inafika naanza kuogopa lol!
Hii ni ndoto!kwanini napata woga hivi?
Haswa tena likubwa mno.
Ashindwe katika jina la yesu!
lala na bunduki
Usiku nimeota nacheza na majoka
Mh sasa jioni inafika naanza kuogopa lol!
Hii ni ndoto!kwanini napata woga hivi?
Nimewakosea nini tena?