Nimejikuta nacheza na majoka

Nimejikuta nacheza na majoka

Mi mwenyewe juzi nimeota ndoto kila ninapokanyaga kuna nyoka, afu weengi na wengine wana sura mbaya kwelikweli
 
Nimewakosea nini hao watu?

Mathayo 10: 36 na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.

Zaburi 55:12 Kwa maana aliyetukana si adui;
Kama ndivyo, ningevumilia.
Aliyejitukuza juu yangu siye anichukiaye;
Kama ndivyo, ningejificha asinione.
13 Bali ni wewe, mtu mwenzangu, Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana.
14 Tulipeana shauri tamu; na kutembea Nyumbani mwa Mungu pamoja na mkutano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom