Nimejikunja kumpa ushauri nasaha, kumbe ananilia 'timing'

Nimejikunja kumpa ushauri nasaha, kumbe ananilia 'timing'

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,058
Reaction score
134,391
Screenshot_20220705-202937_Messages.jpg
Huu ni mtihani mkubwa tunaopata sisi wafariji.

Kwa week sasa huyu dada yangu wa hiari nimekuwa nikimpa ushauri nasaha baada ya kupigwa tukio na mmewe. Nimekuwa nikimtia moyo apuuze na amsamehe mumewe.

Haiba yake anaonekana kunielewa, lakini ukisoma hisia zake za ndani kabisa unaona ni mtu anayenivizia anipe mzigo kulipa kisasi.

Lengo langu ni kutaka kuwashauri dada zetu humu mlioolewa. Acheni kulipa visasi mkipigwa matukio, kwa sababu havitakusaidia.
 
View attachment 2281976
Huu ni mtihani mkubwa tunaopata sisi wafariji.
Kwa week sasa huyu dada yangu wa hiari nimekuwa nikimpa ushauri nasaha baada ya kupigwa tukio na mmewe. Nimekuwa nikimtia moyo apuuzi na amsamehe mumewe.
Haiba yake anaonekana kunielewa,lakini ukisoma hisia zake za ndani kabisa unaona ni mtu anayenivizia anipe mzigo kulipa kisasi.

Lengo langu ni kutaka kuwashauri dada zetu humu mmlioolewa. Acheni kulipa vizazi mkipigwa matukio, kwa sababu havitakusaidia.
Dah! ..
 
Kwakuwa unamjibu kwa emoj ni ngumu sana hata kutilia maanani ushauri unaompa. Unachofanya hapo ni kujiengua wewe ktk hilo saga,ila yeye anabaki.

Anakwenda kumpa mwingine.
 
View attachment 2281976
Huu ni mtihani mkubwa tunaopata sisi wafariji.
Kwa week sasa huyu dada yangu wa hiari nimekuwa nikimpa ushauri nasaha baada ya kupigwa tukio na mmewe. Nimekuwa nikimtia moyo apuuze na amsamehe mumewe.
Haiba yake anaonekana kunielewa,lakini ukisoma hisia zake za ndani kabisa unaona ni mtu anayenivizia anipe mzigo kulipa kisasi.

Lengo langu ni kutaka kuwashauri dada zetu humu mmlioolewa. Acheni kulipa vizazi mkipigwa matukio, kwa sababu havitakusaidia.
Duh...mbona hizi loose ball hazi todondokei sie jamaniiiii. Wee mgegede bwana anapoza machungu ya de libolo ya mume kupata utelezi mwingine
 
View attachment 2281976
Huu ni mtihani mkubwa tunaopata sisi wafariji.

Kwa week sasa huyu dada yangu wa hiari nimekuwa nikimpa ushauri nasaha baada ya kupigwa tukio na mmewe. Nimekuwa nikimtia moyo apuuze na amsamehe mumewe.

Haiba yake anaonekana kunielewa, lakini ukisoma hisia zake za ndani kabisa unaona ni mtu anayenivizia anipe mzigo kulipa kisasi.

Lengo langu ni kutaka kuwashauri dada zetu humu mlioolewa. Acheni kulipa visasi mkipigwa matukio, kwa sababu havitakusaidia.
Ukikutana na mwanamke akakwambia mume wangu ni Mlevi sana hawezi kitu. Mume Wangu ana kisukari hawezi kitu, Mume wangu ni Malaya sana nimeshindwa, Mume wangu ni Mzee sana hawezi kitu, Mume wangu Yuko busy sana Hana time na Mimi, Mume wangu hajali family, mume wangu ni mvutaji sana.... nasema ukikutana na mwanamke kama huyo au mwenye hulka kama hiyo huyo ni CHANGUDOA MSTAARABU...
 
Back
Top Bottom