Nimejichanganya kwa mpenzi muongo balaa!

chiumbimnungu

Senior Member
Mar 25, 2017
151
217
Nipo na mwanamke karibia mwaka sasa lakini nimegundua mwanamke nilienae ni muongo balaa sijapata kuona anajifanya ana dili kubwakubwa lakini kwa ujuzi wangu wa kuelewa mambo nagundua ni msanii sana kila siku anasema nina gari za mizigo lakini huzioni atakwambia nina nyumba lakini siku zote yupo chumba kimoja.

Yaani story zake ni kama mwanamke mwenye uwezo sanaa na hana hofu na hilo akiwa anasema lakini ukweli ni muongo sanaa kuna kipindi aliniambia ana maduka ya hardware lakini ukimwambia hata siku moja twende dukani atakuzungusha mpaka uchoke.

Sometime ananipa mazawadi kama nguo viatu ila najiuliza anapataje pesa na ofisi sizioni au tunammega wengi maana kila mtu anaishi kwake.
 
Unataka uonyeshwe asset Mzee?we we kama anakuhonga Tulia tu ule vya wanaume wenzio wa migodini
 
Kuna bi dada akaniambia "Dady juzi alinipeleka showroom nikachague gari mi nikakataa, sa bado nipo chuo mi gari la nini?"

Maajabu ya Mungu nikamuamini, zile show zilivyoendaaa, Nikaona eh hapa hizi ni chai nikajichekecha.
 
mariooo fanya kazi
Babu nina kazi mzuri sanaaa na kipato babu kubwa tu simtegemei yy maisha yangu yanakimbiza sanaaa tu. Usichonielewa nimeshangaa life style yake babu ni ya kisanii sanaaaa. Tofautisha namtegemea yy na ananipa mazawadi mkuu
 
Nipo na mwanamke karibia mwaka sasa lakini nimegundua mwanamke nilienae ni muongo balaa sijapata kuona anajifanya ana dili kubwakubwa lakini kwa ujuzi wangu wa kuelewa mambo nagundua ni Msanii sanaa kila siku anasema nina gari za mizigo Lakini huzioni atakwambia nina nyumba Lakini siku zote yupo chumba kimoja yaani story zake ni km mwanamke mwenye uwezo sanaa na hana hofu na hilo akiwa anasema lakini ukweli ni muongo sanaaa kuna kipindi alinambia ana maduka ya hardware lakini ukimwambia hata siku moja twende dukani atakuzungusha mpk uchoke. Sometime ananipa mazawadi km nguo viatu ila najiuliza anapataje pesa na ofisi sizioni au tunammega wengi maana kila mtu anaishi kwake
mali za mwanamke , za nini mkuu ?

wewe umeshamuonesha mali unazomiliki !
 
Nipo na mwanamke karibia mwaka sasa lakini nimegundua mwanamke nilienae ni muongo balaa sijapata kuona anajifanya ana dili kubwakubwa lakini kwa ujuzi wangu wa kuelewa mambo nagundua ni Msanii sanaa kila siku anasema nina gari za mizigo Lakini huzioni atakwambia nina nyumba Lakini siku zote yupo chumba kimoja yaani story zake ni km mwanamke mwenye uwezo sanaa na hana hofu na hilo akiwa anasema lakini ukweli ni muongo sanaaa kuna kipindi alinambia ana maduka ya hardware lakini ukimwambia hata siku moja twende dukani atakuzungusha mpk uchoke. Sometime ananipa mazawadi km nguo viatu ila najiuliza anapataje pesa na ofisi sizioni au tunammega wengi maana kila mtu anaishi kwake
Mfuatilie vizuri huyo atakuwa anauza nyapu. Wanawake wa aina hizo huwa wanapenda sana kuji-upgrade.
 
Back
Top Bottom